Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makomandoo, halaiki watia fora sherehe za Muungano

Tanzania jana iliadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar huku viongozi wa upinzani wakisusia sherehe hizo za mwisho katika utawala wa Rais Jakaya Kikwete ambazo, makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), walitia fora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Makomandoo watia fora hafla ya kumuaga JK

Makomandoo wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jana walikuwa kivutio katika hafla ya kumuaga Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Magufuli watia fora 2015

Mwaka 2015 ulitawaliwa na matukio mengi ambayo yalitamba kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hasa Uchaguzi Mkuu ambao umemfanya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Rais John Magufuli kuwa miongoni mwa watu waliotajwa zaidi.

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA UTUPU, VIDEO QUEENS TZ WATIA FORA

STORI: Musa Mateja WHY? Wauza nyago wanaotumika katika video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva (video queens) wametia fora kwa kurekodiwa mikanda ya utupu na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na simu za kupangusa, Risasi Jumamosi lina ripoti kamili. Mrembo maarufu kwa jina moja la Lulu akiwa uchi wa mnyama. Ukiachana na Agness Gerald ‘Masogange’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Redd’s Miss Tanzania kambini, Lake Zone watia fora Dar

WAREMBO 30 wenye tiketi ya kushiriki fainali ya shindano la Redd’s Miss Tanzania, jana walianza kambi huku kivutio kikubwa katika Hoteli ya JB Belmonte, ilikuwa ni kuwasili warembo wa Kanda...

 

10 years ago

Michuzi

KINAMAMA WAJASIRIAMALI WATIA FORA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA, ZAMBIA

Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo ada kwa Watanzania, walishiriki maonesho hayo na kutia fora kwa bidhaa zao mbalimbali. Kikundi cha Wajasiriamali kinachojulikana HOT kutoka Dar es Salaam kilishiriki kama kinvyoonekana kwenye picha mbali mbali wakiwa wamepiga picha na Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma. Balozi alikwenda Ndola kuwaunga mkono. Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma...

 

10 years ago

Michuzi

chipukizi wa UVCCM wa Songea watia fora katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM uwanja wa Majimaji

 Gwaride kazini Ukakamavu na nidhamu Heshima kulia Hakuna mchezo hapa Kiapo cha utii baada ya hatua 15 mbele.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

CHIPUKIZI WA UVCCM SONGEA WATIA FORA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM UWANJA WA MAJIMAJI

 Chipukizi wa UVCCM wakipia saluti huku wakiimba  wimbo wa Taifa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani