NANI KASEMA WATOTO WA KITANZANIA HAWAFUNDISHIKI? ANGALIA HALAIKI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ahp-RthSf94/VA0QMbR8Y6I/AAAAAAAGhbs/UoOLBeK-Lt0/s72-c/554391_10152430139600125_1010748931_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ8qunEJX0rJPoJkSemgY7Gtjvupennnw05HBbi9i2i2--Oqtq4xiFMqJUVrNm50Nf6jLKxPokeoxPBVaGJtATO/linah.jpg)
LINAH: NANI KASEMA NIMEHONGWA GARI?
Stori: Musa mateja Mafanikio! Taarifa ikufikie kuwa staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ amekanusha stori za madai ya kuhongwa gari jipya analosukuma mjini kwa sasa aina ya Toyota Mark X. Staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ akiwa ndani ya gari lake jipya aina ya Toyota Mark X. Akizungumza na mwanahabari wetu, Linah ambaye hivi karibuni alitokea nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YVfccvHsfGhDZIOMrrYKk3U5FDvGfgW4pBALG-AmBQFblAnkxBqt2PCoDdU5JYsGCaJtbrNkYudHmIor0gur-V/ZC.jpg?width=650)
SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?
Gladness Mallya
MTANGAZAJI mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima ambaye mumewe, Kauli Juma aliondoka mara tu baada ya kufunga naye ndoa kuelekea Afrika Kusini kikazi, amesema wa ubani wake huyo amesharejea na hivyo kuwakejeli waliokuwa wakisema kuwa ndoa yao ilikuwa ni magumashi. Mtangazaji mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima. Akipiga stori na paparazi wetu, Sauda alisema kwa sasa anaifurahia ndoa yake vilivyo baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s72-c/MMGM1205.jpg)
NANI KASEMA TANGA HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI???
![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s1600/MMGM1205.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dbPxE1dqDU5*9aoj7s8qQu1gcWbHAgX*CbmHSeXkktEvGbp9psGYAy1lhBxMkuAPseQy9PGK1Ryy5eaV2rWB1Uq/TAMBWE.gif?width=650)
Tambwe: Nani kasema Mbeya City timu ngumu?
Straika wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Amissi Tambwe amewajia juu wanaosema kuwa Mbeya City ni timu ngumu inayosumbua vigogo kwenye Ligi Kuu Bara ambapo amedai kuwa hiyo ni timu ya kawaida na kuahidi kushinda kesho Jumamosi dhidi ya timu hiyo ya Mbeya. Tambwe, raia wa Burundi, amesema timu za Tanzania zinalingana viwango, ndiyo maana hata wao walifungwa 1-0 na Mgambo JKT ambao wapo mkiani kwenye...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Makomandoo, halaiki watia fora sherehe za Muungano
Tanzania jana iliadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar huku viongozi wa upinzani wakisusia sherehe hizo za mwisho katika utawala wa Rais Jakaya Kikwete ambazo, makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), walitia fora.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania