Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NANI KASEMA WATOTO WA KITANZANIA HAWAFUNDISHIKI? ANGALIA HALAIKI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

nani kasema ze fulanazzzz kwishney?

Ankal akitafakari baada ya mwenyeji wake kutotokea...

 

11 years ago

GPL

LINAH: NANI KASEMA NIMEHONGWA GARI?

Stori: Musa mateja Mafanikio! Taarifa ikufikie kuwa staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ amekanusha stori za madai ya kuhongwa gari jipya analosukuma mjini kwa sasa aina ya Toyota Mark X. Staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ akiwa ndani ya gari lake jipya aina ya Toyota Mark X. Akizungumza na mwanahabari wetu, Linah ambaye hivi karibuni alitokea nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo...

 

10 years ago

GPL

SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?

Gladness Mallya
MTANGAZAJI mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima ambaye mumewe, Kauli Juma aliondoka mara tu baada ya kufunga naye ndoa kuelekea Afrika Kusini kikazi, amesema wa ubani wake huyo amesharejea na hivyo kuwakejeli waliokuwa wakisema kuwa ndoa yao ilikuwa ni magumashi. Mtangazaji mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima. Akipiga stori na paparazi wetu, Sauda alisema kwa sasa anaifurahia ndoa yake vilivyo baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

NANI KASEMA TANGA HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI???

Kibao hiki kipo katika Mpaka wa Mkoa wa Tanga na Mkoa wa Pwani,katika kijiji cha Manga.

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Nani kasema Mbeya City timu ngumu?

Straika wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Amissi Tambwe amewajia juu wanaosema kuwa Mbeya City ni timu ngumu inayosumbua vigogo kwenye Ligi Kuu Bara ambapo amedai kuwa hiyo ni timu ya kawaida na kuahidi kushinda kesho Jumamosi dhidi ya timu hiyo ya Mbeya. Tambwe, raia wa Burundi, amesema timu za Tanzania zinalingana viwango, ndiyo maana hata wao walifungwa 1-0 na Mgambo JKT ambao wapo mkiani kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Makomandoo, halaiki watia fora sherehe za Muungano

Tanzania jana iliadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar huku viongozi wa upinzani wakisusia sherehe hizo za mwisho katika utawala wa Rais Jakaya Kikwete ambazo, makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), walitia fora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani