LINAH: NANI KASEMA NIMEHONGWA GARI?
![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ8qunEJX0rJPoJkSemgY7Gtjvupennnw05HBbi9i2i2--Oqtq4xiFMqJUVrNm50Nf6jLKxPokeoxPBVaGJtATO/linah.jpg)
Stori: Musa mateja Mafanikio! Taarifa ikufikie kuwa staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ amekanusha stori za madai ya kuhongwa gari jipya analosukuma mjini kwa sasa aina ya Toyota Mark X. Staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ akiwa ndani ya gari lake jipya aina ya Toyota Mark X. Akizungumza na mwanahabari wetu, Linah ambaye hivi karibuni alitokea nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ahp-RthSf94/VA0QMbR8Y6I/AAAAAAAGhbs/UoOLBeK-Lt0/s72-c/554391_10152430139600125_1010748931_n.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YVfccvHsfGhDZIOMrrYKk3U5FDvGfgW4pBALG-AmBQFblAnkxBqt2PCoDdU5JYsGCaJtbrNkYudHmIor0gur-V/ZC.jpg?width=650)
SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dbPxE1dqDU5*9aoj7s8qQu1gcWbHAgX*CbmHSeXkktEvGbp9psGYAy1lhBxMkuAPseQy9PGK1Ryy5eaV2rWB1Uq/TAMBWE.gif?width=650)
Tambwe: Nani kasema Mbeya City timu ngumu?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s72-c/MMGM1205.jpg)
NANI KASEMA TANGA HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI???
![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s1600/MMGM1205.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Apr
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF