nani kasema ze fulanazzzz kwishney?
Ankal akitafakari baada ya mwenyeji wake kutotokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLLINAH: NANI KASEMA NIMEHONGWA GARI?
Stori: Musa mateja Mafanikio! Taarifa ikufikie kuwa staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ amekanusha stori za madai ya kuhongwa gari jipya analosukuma mjini kwa sasa aina ya Toyota Mark X. Staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ akiwa ndani ya gari lake jipya aina ya Toyota Mark X. Akizungumza na mwanahabari wetu, Linah ambaye hivi karibuni alitokea nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo...
10 years ago
GPLSAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?
Gladness Mallya
MTANGAZAJI mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima ambaye mumewe, Kauli Juma aliondoka mara tu baada ya kufunga naye ndoa kuelekea Afrika Kusini kikazi, amesema wa ubani wake huyo amesharejea na hivyo kuwakejeli waliokuwa wakisema kuwa ndoa yao ilikuwa ni magumashi. Mtangazaji mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima. Akipiga stori na paparazi wetu, Sauda alisema kwa sasa anaifurahia ndoa yake vilivyo baada ya...
10 years ago
MichuziNANI KASEMA TANGA HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI???
Kibao hiki kipo katika Mpaka wa Mkoa wa Tanga na Mkoa wa Pwani,katika kijiji cha Manga.
11 years ago
GPLTambwe: Nani kasema Mbeya City timu ngumu?
Straika wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Amissi Tambwe amewajia juu wanaosema kuwa Mbeya City ni timu ngumu inayosumbua vigogo kwenye Ligi Kuu Bara ambapo amedai kuwa hiyo ni timu ya kawaida na kuahidi kushinda kesho Jumamosi dhidi ya timu hiyo ya Mbeya. Tambwe, raia wa Burundi, amesema timu za Tanzania zinalingana viwango, ndiyo maana hata wao walifungwa 1-0 na Mgambo JKT ambao wapo mkiani kwenye...
11 years ago
Michuzi27 Apr
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
Historia yake
Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
Historia yake
Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
Historia yake
Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
Ibrahim Lipumba ni mchumi wa kimataifa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Alizaliwa Juni 6, 1952 katika Kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania