Tambwe: Nani kasema Mbeya City timu ngumu?
![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dbPxE1dqDU5*9aoj7s8qQu1gcWbHAgX*CbmHSeXkktEvGbp9psGYAy1lhBxMkuAPseQy9PGK1Ryy5eaV2rWB1Uq/TAMBWE.gif?width=650)
Straika wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli STRAIKA wa Simba, Amissi Tambwe amewajia juu wanaosema kuwa Mbeya City ni timu ngumu inayosumbua vigogo kwenye Ligi Kuu Bara ambapo amedai kuwa hiyo ni timu ya kawaida na kuahidi kushinda kesho Jumamosi dhidi ya timu hiyo ya Mbeya. Tambwe, raia wa Burundi, amesema timu za Tanzania zinalingana viwango, ndiyo maana hata wao walifungwa 1-0 na Mgambo JKT ambao wapo mkiani kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ahp-RthSf94/VA0QMbR8Y6I/AAAAAAAGhbs/UoOLBeK-Lt0/s72-c/554391_10152430139600125_1010748931_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ8qunEJX0rJPoJkSemgY7Gtjvupennnw05HBbi9i2i2--Oqtq4xiFMqJUVrNm50Nf6jLKxPokeoxPBVaGJtATO/linah.jpg)
LINAH: NANI KASEMA NIMEHONGWA GARI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YVfccvHsfGhDZIOMrrYKk3U5FDvGfgW4pBALG-AmBQFblAnkxBqt2PCoDdU5JYsGCaJtbrNkYudHmIor0gur-V/ZC.jpg?width=650)
SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s72-c/MMGM1205.jpg)
NANI KASEMA TANGA HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI???
![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s1600/MMGM1205.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Apr
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mtihani wa timu ngeni Ligi Kuu na nyayo za Mbeya City 2013/14
TIMU ngeni katika Ligi Kuu ya msimu ujao ambao utaanza Septemba 20, ni Ndanda FC ya Mtwara, Polisi ya Morogoro na Stand United ya Shinyanga zikiziba nafasi ya zilizoshuka ambazo...
11 years ago
MichuziTIMU YA MBEYA CITY FC YAPATA MDHAMINI RASMI AMBAO NI BINSLUM TYRE COMPANY LIMITED
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mbeya City FC wakabidhiwa Kadi maalum kwa wapenzi wa timu hiyo kutoka Benki ya Posta
![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)