Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIMU YA MBEYA CITY FC YAPATA MDHAMINI RASMI AMBAO NI BINSLUM TYRE COMPANY LIMITED

 kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Dk. Samwel na mkurugenzi wa kampuni ya Binslum Tyre wakionesha flana zenye nembo ya kampuni ya Binslum Tyre  kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Dk. Samwel Lazaro,alisema Halmashauri imepata faraja kubwa kupata mdhamini kutokana na Halmashauri kutokuwa na fedha za kutosha kuweza kuendesha timu. Mkurugenzi wa kampuni ya Binslum Tyre , Mohamed Binslum akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Mbeya
Baadhi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Timu yta Coastal Union kuiburuza Mahakamani Kampunni ya Binslum Tyre


UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga umesema utakwenda mahakamani kuishtaki Kampuni ya Binsul Tyre kutokana na kitendo cha kutengeneza tisheti za Coastal Union zenye nembo ya kampuni Sound na kuwapa bure mashabiki kuingiza nazo kwenye mechi mbalimbali za ligi kuu Tanzania bara wakiwa wamelipiwa na viingilo vya mchezo husika.
Hali hiyo ni kinyume na utaratibu kutokana na kuwa tayari kampuni hiyo ilishajitoka kufadhili timu hiyo na tayari klabu ya Coastal Union ilikwishapata mfadhili...

 

9 years ago

Mtanzania

Nyoso amtibua mdhamini Mbeya City

bin-slum-july25-2013NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MMOJA ya wadhamini wa timu ya Mbeya City, Nassor Binslum, amelaani vikali udhalilishaji aliofanya beki wa timu hiyo, Juma Nyoso, kwa nahodha wa Azam FC, John Bocco.

Udhalilishaji huo wa Nyoso umemfanya kufungiwa kutoshiriki soka kwa miaka miwili pamoja na kulipa faini ya Sh 2,000,000.

Binslum anayeidhamini Mbeya City kupitia moja ya bidhaa zake za RB Battery, amesema juzi kuwa yeye binafsi na Kampuni yao ya Binslum Tyres Co Limited wanaunga mkono adhabu...

 

10 years ago

Michuzi

Coastal Union kuiburuza Mahakamani Kampunni ya Binslum Tyre

UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga umesema utakwenda mahakamani kuishtaki Kampuni ya Binsul Tyre kutokana na kitendo cha kutengeneza tisheti za Coastal Union zenye nembo ya kampuni Sound na kuwapa bure mashabiki kuingiza nazo kwenye mechi mbalimbali za ligi kuu Tanzania bara wakiwa wamelipiwa na viingilo vya mchezo husika.
Hali hiyo ni kinyume na utaratibu kutokana na kuwa tayari kampuni hiyo ilishajitoka kufadhili timu hiyo na tayari klabu ya Coastal Union ilikwishapata mfadhili...

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Nani kasema Mbeya City timu ngumu?

Straika wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Amissi Tambwe amewajia juu wanaosema kuwa Mbeya City ni timu ngumu inayosumbua vigogo kwenye Ligi Kuu Bara ambapo amedai kuwa hiyo ni timu ya kawaida na kuahidi kushinda kesho Jumamosi dhidi ya timu hiyo ya Mbeya. Tambwe, raia wa Burundi, amesema timu za Tanzania zinalingana viwango, ndiyo maana hata wao walifungwa 1-0 na Mgambo JKT ambao wapo mkiani kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtihani wa timu ngeni Ligi Kuu na nyayo za Mbeya City 2013/14

TIMU ngeni katika Ligi Kuu ya msimu ujao ambao utaanza Septemba 20, ni Ndanda FC ya Mtwara, Polisi ya Morogoro na Stand United ya Shinyanga zikiziba nafasi ya zilizoshuka ambazo...

 

10 years ago

Michuzi

Mbeya City FC wakabidhiwa Kadi maalum kwa wapenzi wa timu hiyo kutoka Benki ya Posta

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Ndugu Norman Sigala pamoja na Meya wa jiji la Mbeya Ndugu Athanas Kapunga wakipokea kadi ya ushabiki ya Mbeya City Football Club kutoka kwa Kaimu Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania Ndugu Jema Msuya. Kushoto kwenye picha ni Mkurugenzi wa masoko wa benki ya Posta Mr Deogratius Kwiyukwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani