Nyoso amtibua mdhamini Mbeya City
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MMOJA ya wadhamini wa timu ya Mbeya City, Nassor Binslum, amelaani vikali udhalilishaji aliofanya beki wa timu hiyo, Juma Nyoso, kwa nahodha wa Azam FC, John Bocco.
Udhalilishaji huo wa Nyoso umemfanya kufungiwa kutoshiriki soka kwa miaka miwili pamoja na kulipa faini ya Sh 2,000,000.
Binslum anayeidhamini Mbeya City kupitia moja ya bidhaa zake za RB Battery, amesema juzi kuwa yeye binafsi na Kampuni yao ya Binslum Tyres Co Limited wanaunga mkono adhabu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Mbeya City kumkatia rufaa Nyoso
10 years ago
TheCitizen01 Oct
Mbeya City form 3-member team to review Nyoso ban
11 years ago
MichuziTIMU YA MBEYA CITY FC YAPATA MDHAMINI RASMI AMBAO NI BINSLUM TYRE COMPANY LIMITED
10 years ago
TheCitizen06 Dec
Coastal’s defender Nyoso joins City
11 years ago
GPL
AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA
11 years ago
Michuzi11 Feb
MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya
10 years ago
MichuziMBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA
11 years ago
GPL
WAKAZI WA MBEYA WACHANGAMKIA JEZI ZA MBEYA CITY