Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coastal’s defender Nyoso joins City

Mbeya City head coach Juma Mwambusi has reinforced his squad for this season’s Mainland Premier League by drafting in former Simba SC defender Juma Nyoso.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nyoso amtibua mdhamini Mbeya City

bin-slum-july25-2013NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MMOJA ya wadhamini wa timu ya Mbeya City, Nassor Binslum, amelaani vikali udhalilishaji aliofanya beki wa timu hiyo, Juma Nyoso, kwa nahodha wa Azam FC, John Bocco.

Udhalilishaji huo wa Nyoso umemfanya kufungiwa kutoshiriki soka kwa miaka miwili pamoja na kulipa faini ya Sh 2,000,000.

Binslum anayeidhamini Mbeya City kupitia moja ya bidhaa zake za RB Battery, amesema juzi kuwa yeye binafsi na Kampuni yao ya Binslum Tyres Co Limited wanaunga mkono adhabu...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbeya City kumkatia rufaa Nyoso

Suala la kufungiwa nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso limechukua sura mpya baada ya klabu hiyo kuwasilisha nia ya kukata rufaa.

 

9 years ago

TheCitizen

Mbeya City form 3-member team to review Nyoso ban

Mbeya City FC look hesitant to accept a two-year suspension of their skipper Juma Nyoso.

 

9 years ago

BBC

Birmingham City sign defender Mbende

Birmingham City sign Cameroonian defender Emmanuel Mbende following his exit from Borussia Dortmund.

 

10 years ago

Michuzi

COASTAL waitangazia vita Mbeya City

TIMU ya Coastal Union ya Tanga imesema kuwa itapambana vilivyo ili kuweza kuhakikisha inachukua pointi tatu muhimu dhidi ya Mbeya City kwenye mechi ya Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayochezwa wikiendi hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani,jijini Tanga.
Coastal Union itangia kwenye mechi hiyo ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mechi yao ya mzunguko wa kwanza iliyochezwa kwenye uwanja wa sokoine jijini Mbeya ambapo Mbeya City iliweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ambalo lilipatikana kwa njia ya...

 

10 years ago

Africanjam.Com

RAHEEM STERLING JOINS MANCHESTER CITY FROM LIVERPOOL FOR RECORD £49m FEE


Raheem Sterling has time on his side. How else can Manchester City justify spending £49m on a player who has never scored in the Champions League and has three times as many bookings for England as he has international goals? Manchester United have bought Germany's captain, Holland's brightest prospect and Italy's right-back for a combined fee of £51m this summer, so in what world is a sulking Sterling worth £49m? In the crazy world of English football. The crazy world where TV companies pay...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwambusi amlilia Nyoso

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumlima rungu la miaka miwili nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kutokana na kitendo cha utomvu wa nidhamu, kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi amesema hana la kusema kufuatia adhabu aliyopewa mchezaji wake.

 

9 years ago

Michuzi

NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI

NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILIKamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani