Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambusi amlilia Nyoso

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumlima rungu la miaka miwili nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kutokana na kitendo cha utomvu wa nidhamu, kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi amesema hana la kusema kufuatia adhabu aliyopewa mchezaji wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI

NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILIKamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na...

 

9 years ago

TheCitizen

Nyoso faces wrath for ‘misconduct’

Mbeya City defender Juma Nyoso faces a stern action from the Tanzania Football Federation (TFF) if proven that he committed an indecent act that allegedly humiliated Azam FC striker John Bocco.

 

10 years ago

TheCitizen

Coastal’s defender Nyoso joins City

Mbeya City head coach Juma Mwambusi has reinforced his squad for this season’s Mainland Premier League by drafting in former Simba SC defender Juma Nyoso.

 

9 years ago

Mtanzania

Nyoso amtibua mdhamini Mbeya City

bin-slum-july25-2013NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MMOJA ya wadhamini wa timu ya Mbeya City, Nassor Binslum, amelaani vikali udhalilishaji aliofanya beki wa timu hiyo, Juma Nyoso, kwa nahodha wa Azam FC, John Bocco.

Udhalilishaji huo wa Nyoso umemfanya kufungiwa kutoshiriki soka kwa miaka miwili pamoja na kulipa faini ya Sh 2,000,000.

Binslum anayeidhamini Mbeya City kupitia moja ya bidhaa zake za RB Battery, amesema juzi kuwa yeye binafsi na Kampuni yao ya Binslum Tyres Co Limited wanaunga mkono adhabu...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbeya City kumkatia rufaa Nyoso

Suala la kufungiwa nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso limechukua sura mpya baada ya klabu hiyo kuwasilisha nia ya kukata rufaa.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA NIDHAMU TFF YAWAADHIBU JUMA NYOSO NA AGGREY MORRIS


Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungia kati ya mechi tatu na nane wachezaji Juma Nyoso wa Mbeya City na Aggrey Morris wa Azam kutokana na makosa ya kinidhamu waliyoyafanya wakiwa uwanjani.

Nyoso ambaye alilalamikiwa na TFF kwa kumfanyia vitendo vya udhalilishaji mshambuliaji Elias Maguri wa Simba amefungiwa mechi nane za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL). Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Ibara ya 57 na Ibara ya 11 (f) ya Kanuni za Nidhamu za TFF Toleo la...

 

9 years ago

TheCitizen

Mbeya City form 3-member team to review Nyoso ban

Mbeya City FC look hesitant to accept a two-year suspension of their skipper Juma Nyoso.

 

9 years ago

Bongo5

TFF yamfungia Juma Nyoso kucheza soka kwa miaka miwili

Kamati ya uendeshaji ya ligi kuu Tanzania Bara iliyokutana September 29 kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya ligi kuu na ligi daraja la kwanza nchini, imemfungia nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili. Pia imempiga faini ya shilingi milioni mbili kuafutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji […]

 

9 years ago

Bongo5

TFF kumchukulia hatua mchezaji ‘anayewapiga dole’ wenzie uwanjani, Juma Nyoso

Cheza mbali na Juma Nyoso lasivyo atakupiga dole! Camera zilimnasa Nyoso akimpiga dole mchezaji wa Azam, Bocco Beki huyo wa Mbeya City amerudia tena kitendo hicho cha kudhalilisha wachezaji wenzake wake uwanjani kiasi ambacho TFF imeahidi kumchukulia hatua kali zaidi awamu hii. “Udhalilishaji uliofanywa leo na mchezaji mmoja wa timu ya ligi kuu tumeuona,hatua kali […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani