TFF kumchukulia hatua mchezaji ‘anayewapiga dole’ wenzie uwanjani, Juma Nyoso
Cheza mbali na Juma Nyoso lasivyo atakupiga dole! Camera zilimnasa Nyoso akimpiga dole mchezaji wa Azam, Bocco Beki huyo wa Mbeya City amerudia tena kitendo hicho cha kudhalilisha wachezaji wenzake wake uwanjani kiasi ambacho TFF imeahidi kumchukulia hatua kali zaidi awamu hii. “Udhalilishaji uliofanywa leo na mchezaji mmoja wa timu ya ligi kuu tumeuona,hatua kali […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yaDToKVoFb4/VNSrgKe_dgI/AAAAAAAHCMM/v5Cbxu4E5vI/s72-c/MORRIS1.jpg)
KAMATI YA NIDHAMU TFF YAWAADHIBU JUMA NYOSO NA AGGREY MORRIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-yaDToKVoFb4/VNSrgKe_dgI/AAAAAAAHCMM/v5Cbxu4E5vI/s1600/MORRIS1.jpg)
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungia kati ya mechi tatu na nane wachezaji Juma Nyoso wa Mbeya City na Aggrey Morris wa Azam kutokana na makosa ya kinidhamu waliyoyafanya wakiwa uwanjani.
Nyoso ambaye alilalamikiwa na TFF kwa kumfanyia vitendo vya udhalilishaji mshambuliaji Elias Maguri wa Simba amefungiwa mechi nane za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL). Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Ibara ya 57 na Ibara ya 11 (f) ya Kanuni za Nidhamu za TFF Toleo la...
9 years ago
Bongo530 Sep
TFF yamfungia Juma Nyoso kucheza soka kwa miaka miwili
10 years ago
MichuziMchezaji Hamis Tambwe alia na TFF,atawaka wanaoleta vurugu wachukuliwe hatua
Mshambuliaji Hamis Tambwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuchukua hatua stahiki dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting kwa kitendo cha kumshambulia na kumtolea lugha chafu uwanjani ikiwemo kumbagua kwa kumuita mkimbizi.
Akizungumza Makao Makuu ya klabu ya Yanga iliyopo mtaa wa Twiga na Jangwani leo, Tambwe alisema kuwa kitendo alichofanyiwa ni cha kinyama na anakilaani kwa nguvu zote, na anataka aelezwe wazi iwapo wachezaji kutoka mataifa mengine hawatakiwi kucheza Tanzania.
"Uwanja...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mo464flx84o/default.jpg)
Juma Nyosso alivyompiga Dole John Bocco
TOA MAONI YAKO JUU YA HII VIDEO MCHEZAJI HUYU KAFUNGIWA MIAKA MIWILI NA FINE MIL 2. JE UNADHANIA WOTE WALITAKIWA KUPEWA ADHABU?.
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Kijiwe kumchukulia hatua Lukuviii
BAADA ya Waziri Bill Lukuviii kutangaza mapinduzi dhidi ya mamlaka ya wachovu, kijiwe kimekaa kama kamati kumpa vipande vyake pamoja na kumtaka bosi wake amwajibishe kabla wana kijiwe hawajamtokea na...
10 years ago
Bongo529 May
Serikali yapania kumchukulia hatua Shilole
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji
Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku. Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda. Shenda ni moja kati ya vijiji...
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mchezaji Gabon afariki uwanjani
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
TFF:Hatuhukumu matukio uwanjani kwa ushahidi wa teknologia