Juma Nyosso alivyompiga Dole John Bocco
![](http://img.youtube.com/vi/Mo464flx84o/default.jpg)
TOA MAONI YAKO JUU YA HII VIDEO MCHEZAJI HUYU KAFUNGIWA MIAKA MIWILI NA FINE MIL 2. JE UNADHANIA WOTE WALITAKIWA KUPEWA ADHABU?.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
TFF kumchukulia hatua mchezaji ‘anayewapiga dole’ wenzie uwanjani, Juma Nyoso
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Azam FC yamshukia Juma Nyosso
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam imepeleka barua rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikiomba wamfungie beki wa Mbeya City, Juma Nyosso, kwa kitendo cha udhalilishaji dhidi ya nahodha wao, John Bocco.
Nyosso alifanya kosa hilo wakati timu yake ilipokubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam, kwenye Uwanja wa Azam Complex, Jumapili iliyopita, tukio lililokemewa vikali kwa watu mbalimbali wakitaka beki huyo aadhibiwe vikali.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQak4ho40c3jvNXlSAZY4SRibahbHunCMKuzxnjy4ElZwcf0k7ufF0HifSBb9MfxXAwOY5ozfRHXi-YWN5jFj1pq/simba.jpg)
Simba wamuwashia moto Juma Nyosso
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fB3C7XcMn0I/VV6ukuYhcKI/AAAAAAADn3E/Y6H-UsNkxaI/s72-c/images.jpg)
JOHN BOCCO AFICHUA SIRI YA TAIFA STARS KUBORONGA, ASEMA; "TUSIKUBALI KUPELEKWA"
![](http://2.bp.blogspot.com/-fB3C7XcMn0I/VV6ukuYhcKI/AAAAAAADn3E/Y6H-UsNkxaI/s640/images.jpg)
"Nikiwa kama mchezaji waki TANZANIA ninaecheza ligi ya hapa nyumbani na nikiwa mmoja wa wachezaji katika Timu ya Taifa ya kizazi hiki cha sasa wa Mudamrefu. Naandika hivi nikiwa na huzuni na masikitiko makubwa juu ya mpira wetu wa TANZANIA kwa ujumla kuanzia club zetu, ligi yetu na mpaka kwenye Timu ya TAIFA 'TAIFA STARS'.Sijaandika ivi kwania ya kufundisha wala kukosoa MSHABIKI, KIONGOZI WA MPIRA, VILABU VYA TANZANIA, SHIRIKISHO LA MPIRA WA TANZANIA na wala TIMU YETU YA TAIFA YA MPIRA WA...
11 years ago
Michuzi23 Apr
MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE,JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wfDmAgx8hhI/VIR_lqW6N6I/AAAAAAAG1vs/7r5pNJDuDX4/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
Dkt Shein aongoza maziko ya Muasisi wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma
![](http://4.bp.blogspot.com/-wfDmAgx8hhI/VIR_lqW6N6I/AAAAAAAG1vs/7r5pNJDuDX4/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDs6St6Bt4I/VIR_k41oobI/AAAAAAAG1vk/DC6dPZnDRKg/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
11 years ago
GPLBAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA
9 years ago
Habarileo02 Oct
Nyosso ajitetea
MCHEZAJI wa timu ya Mbeya City, Juma Said maarufu Nyosso amekitaka Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (SPUTANZA), kumsaidia katika kupata haki yake. Beki huyo wa kati amefungiwa na Kamati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) saa 72 inayofuatilia mwenendo wa Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza kutokana na kitendo cha utovu wa nidhamu alichoonesha katika mchezo wa timu yake hiyo dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex hivi karibuni.