MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE,JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA
Bondia Juma Biglee (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Bondia Jack Simela wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn Chalinze mjini,mkoani Pwani.Biglee alishinda kwa point.
Mabondia hao wakitupiana makonde mazito mazito.
Bondia Juma Biglee akinyooshwa mkono juu baada ya kumshinda Jack Simela wa Chalinze.
Bondia Mwaite Juma (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Bondia Godfrey Sadiki 'Pacho Mawe' wakati wa mpambano wao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Shetta aingia kwa ubabe shoo ya Juma Nature
NA RHOBI CHACHA
AKIWA na wapambe 15 msanii wa Bongo Fleva, Nurdin Bilali ‘Shetta’, alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kuingia na wapambe wake hao katika shoo ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature, iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam.
Shetta ilimlazimu kufanya uamuzi huo baada ya njia yake ya kutishia kususia kufanya onyesho lake katika onyesho hilo kupuuzwa huku akikataliwa kuingia na idadi hiyo kubwa ya wapambe wake badala yake...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wfDmAgx8hhI/VIR_lqW6N6I/AAAAAAAG1vs/7r5pNJDuDX4/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
Dkt Shein aongoza maziko ya Muasisi wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma
![](http://4.bp.blogspot.com/-wfDmAgx8hhI/VIR_lqW6N6I/AAAAAAAG1vs/7r5pNJDuDX4/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDs6St6Bt4I/VIR_k41oobI/AAAAAAAG1vk/DC6dPZnDRKg/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
11 years ago
GPLBAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-Lj4oEYAcInwmiHEZ-Sx3rytol9C*ymP637PrMNzEq-AACtxfr6ccBxhiW9q8NX24rIxUCKQwVVjXNy7ElvyPx/Jack.jpg)
JACK PATRICK AENDELEZA MITINDO GEREZANI CHINA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0Xd6aDslgio/VVbL_AdA8kI/AAAAAAAHXgo/FgD7jvrwcKY/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Vijimambo17 Nov
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Zesco yamsajili Juma Luizio
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Juma Said apigwa marufuku ya miaka 2