Shetta aingia kwa ubabe shoo ya Juma Nature
NA RHOBI CHACHA
AKIWA na wapambe 15 msanii wa Bongo Fleva, Nurdin Bilali ‘Shetta’, alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kuingia na wapambe wake hao katika shoo ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature, iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam.
Shetta ilimlazimu kufanya uamuzi huo baada ya njia yake ya kutishia kususia kufanya onyesho lake katika onyesho hilo kupuuzwa huku akikataliwa kuingia na idadi hiyo kubwa ya wapambe wake badala yake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTIShNY2EfZnmAh9O3HzkENcbWXiuO5vxkyUwLMa6Q5*056Y2nr91E0agIDtXrr1XH-vJbgPV0a3j1eoEuI9K3q/KomaaCon.jpg?width=600)
11 years ago
Michuzi23 Apr
MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE,JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Juma Nature: Nyota aliyejisomesha kwa kuuza vitumbua, vyuma chakavu(4)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCgCraIBOQU/VUutED9AZQI/AAAAAAAHWNc/ly010DrcIhM/s72-c/DSCF2245.jpg)
EFM kuongoza Sherehe za Miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCgCraIBOQU/VUutED9AZQI/AAAAAAAHWNc/ly010DrcIhM/s640/DSCF2245.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AmFfKIHqioM/VUutEAhmygI/AAAAAAAHWNg/gV3YA0OUTTo/s640/DSCF2234.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Aug
JUMA NATURE: Nyota wa muziki aliyejisomesha kwa kuokota, kuuza vyuma chakavu na vitumbua
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7SduGqFYK0FRZlpEjkLZWzEB8YsOmGIViwVWgfI3eT1k1XZ0DownxlUFej1GWv*7okyQtBZR4Ev4bsIysEtQIB/matumain.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... ROMA, MADEE, NATURE KUONYESHANA UBABE TAIFA!
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Shetta kuangusha bonge la shoo nchini Norway
Staa wa Bongo Fleva,Shetta leo anatarajia kuangusha bonge la shoo jijini Oslo nchini Norway.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UouCQxpjPt4/VWLkGCizu0I/AAAAAAAHZk8/PKNmc_Vuqv4/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
NEWS ALERT: KOMAA CONCERT kuadhimisha miaka 16 ya kukwika kwa msanii JUMA NATURE kufanyika Mei 30, 2015 Dar Live