NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI
NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILIKamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Sep
TFF yamfungia Juma Nyoso kucheza soka kwa miaka miwili
11 years ago
KwanzaJamii16 Jul
Mtoto afungiwa miaka 10 kwenye banda la mbuzi
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Phiri aomba miaka miwili
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Santo miaka miwili Simba
KLABU ya Simba imesajili nyota wawili Wakenya; Raphael Mungai kutoka Klabu ya KCB ya Kenya anayecheza nafasi ya ushambuliaji na kiungo wake wa zamani, Jerry Santo akitokea Coastal Union ya...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
UKATILI: Mtoto ateswa miaka miwili
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Singano asaini miaka miwili Azam FC
YAMETIMIA. Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ramadhan Singano ‘Messi’, jana ameingia mkataba wa miaka miwili kuichezea Klabu ya Azam FC.
Kabla Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji mwanzoni mwa wiki hii kumuidhinisha Singano kuwa huru baada ya klabu yake ya zamani, Simba kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wake, kulikuwa na tetesi kuwa Azam FC walitaka kumsajili.
Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, alisema kuwa klabu yao imemsainisha mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKUDE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Miaka miwili bila Regia Mtema
JANA ilitimia miaka miwili tangu alipofariki Mbunge wa Viti Maalum, Regia Mtema (CHADEMA), katika kifo kilichosababishwa na ajali mbaya ya gari mkoani Pwani, Januari 14, 2011. Misa takatifu ya kumbukumbu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SQwzYHcv9mQ/U9seZvrfWaI/AAAAAAACmi4/EiFs198dfQ4/s72-c/JOSEPH+MTURI+PHOTOS.jpg)
Kumbukumbu ya Miaka Miwili (1955-2012)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SQwzYHcv9mQ/U9seZvrfWaI/AAAAAAACmi4/EiFs198dfQ4/s1600/JOSEPH+MTURI+PHOTOS.jpg)
Japokuwa haupo nasi hapa duniani lakini tupo nawe kiroho kwa kuendeleza mema yote uliyotufundisha na kutuasa. Tunakukumbuka kwa Upole, Upendo, Busara na Ukarimu uliokuwa nao kwa familia na Marafiki. Mwongozo na matendo yako yataendelea kuwa dira kwetu.
Daima...