MKUDE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Kiungo wa timu ya Simba SC, Jonas Gerald Mkude (katikati) akisani mkataba mpya mbele ya Rais wa Simba , Evans Aveva (kulia), Zachalia Hans Pope (kushoto) Jonas Gerald Mkude (katikati) akiweka saini ya dole gumba katika mkataba mpya mbele ya Rais wa Simba , Evans Aveva (kulia), Zachalia Hans Pope (kushoto). KIUNGO wa Simba SC, Jonas Gerald Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC na kusema bado nipo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlzDvRWJ5ZSsq*JgPr9UwLcA2Gm1MUTORrSPnqbFfWkCOAoE8GKY5McvNMrhx5Nu-1n5wHKpep7ArAi*RRru*WB/1.jpg?width=650)
Kipa Barthez asaini Simba miaka miwili
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Singano asaini miaka miwili Azam FC
YAMETIMIA. Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ramadhan Singano ‘Messi’, jana ameingia mkataba wa miaka miwili kuichezea Klabu ya Azam FC.
Kabla Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji mwanzoni mwa wiki hii kumuidhinisha Singano kuwa huru baada ya klabu yake ya zamani, Simba kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wake, kulikuwa na tetesi kuwa Azam FC walitaka kumsajili.
Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, alisema kuwa klabu yao imemsainisha mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAVUMBANGU ASAINI MIAKA MIWILI AZAM FC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1Gsv29f8EBk5t*LbBpcdhMHYzD1lb1FDE1LvOA2XZ6W8yOXfM8jY52QzjBoMWabtbbk9y3oJRTrvB9onmsNMHPVTp/Msuva.jpg?width=650)
Msuva amkomesha baba yake, asaini miaka miwili Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nNyWxeaBYtA/VYrkn4D1FpI/AAAAAAAHjmA/vZFVmHluLr8/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
MAYANJA ATUA TANGA, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Santo miaka miwili Simba
KLABU ya Simba imesajili nyota wawili Wakenya; Raphael Mungai kutoka Klabu ya KCB ya Kenya anayecheza nafasi ya ushambuliaji na kiungo wake wa zamani, Jerry Santo akitokea Coastal Union ya...
11 years ago
GPLMKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/15pbGCBw7iOD008gYNdIVjhqjqHra5OiFJJDX9mWzcO0XoaGiF*YRMVyU9Upk0Ys9Xy8WxnwLHkthmdIOfvF7DK3maP0mLIP/jonas.jpg?width=650)
Mkude: Sijasaini Simba
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UxYZkcwV3oU/U6XtJibnBVI/AAAAAAAFsNQ/CIU5G42UYZY/s72-c/GlobalPublishertopefm.jpg)
mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba
![](http://3.bp.blogspot.com/-UxYZkcwV3oU/U6XtJibnBVI/AAAAAAAFsNQ/CIU5G42UYZY/s1600/GlobalPublishertopefm.jpg)