Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUDE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC

Kiungo wa timu ya Simba SC, Jonas Gerald Mkude (katikati) akisani mkataba mpya mbele ya Rais wa Simba , Evans Aveva (kulia), Zachalia Hans Pope (kushoto) Jonas Gerald Mkude (katikati) akiweka saini ya dole gumba katika mkataba mpya mbele ya Rais wa Simba , Evans Aveva (kulia), Zachalia Hans Pope (kushoto). KIUNGO wa Simba SC, Jonas Gerald Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC na kusema bado nipo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Kipa Barthez asaini Simba miaka miwili

Kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’. Na Musa Mateja
SIKU moja kabla ya kuumana na Simba, Championi Ijumaa limepata taarifa za uhakika kuwa kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’ amefikia makubaliano ya kuondoka klabuni hapo na sasa ataichezea Simba msimu ujao. Barthez ambaye amekuwa na wakati mgumu wa kupata nafasi kwenye kikosi cha Yanga hivi sasa, imeelezwa kuwa ameshaafikiana na Yanga kuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Singano asaini miaka miwili Azam FC

YAMETIMIA. Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ramadhan Singano ‘Messi’, jana ameingia mkataba wa miaka miwili kuichezea Klabu ya Azam FC.

Kabla Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji mwanzoni mwa wiki hii kumuidhinisha Singano kuwa huru baada ya klabu yake ya zamani, Simba kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wake, kulikuwa na tetesi  kuwa Azam FC walitaka kumsajili.

Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, alisema kuwa klabu yao imemsainisha mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili...

 

11 years ago

GPL

KAVUMBANGU ASAINI MIAKA MIWILI AZAM FC

Kavumbangu akitia dole gomba Mkataba wa Azam leo. NAHODHA wa Burundi, Didier Kavumbangu amesaini Mkataba wa miaka miwili na mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC mchana wa leo. Kavumbangu aliyemaliza Mkataba wake wa miaka miwili Yanga SC, ameamua kusaini Azam FC baada ya kuona klabu yake haina mawasiliano naye licha ya kumaliza Mkataba wake. “Mimi ni mchezaji, kazi yangu ni mpira. Nimemaliza mkataba...

 

10 years ago

GPL

Msuva amkomesha baba yake, asaini miaka miwili Yanga

Winga wa Yanga, Simon Msuva. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KAMA amemkomesha baba yake mzazi vile, winga Simon Msuva amesaini mkataba mwingine wa miaka miwili ya kuendelea kuichezea Yanga inayojiandaa na Kombe la Kagame, Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Awali, baba wa winga huyo, Happygod Msuva, alimzuia mwanaye kusaini mkataba mwingine wa kuendelea kuichezea Yanga, badala yake aende Simba akapate changamoto mpya....

 

10 years ago

Michuzi

MAYANJA ATUA TANGA, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION

MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988,Coastal Union,Wagosi wa Kaya imeingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja ambaye ni raia wa Uganda kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu . Utiliaji wa saini wa Kocha huyo ulifanyika leo  mjiniTanga  na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa timu ya Coastal Union akiwemo Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Albert Peter na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Santo miaka miwili Simba

KLABU ya Simba imesajili nyota wawili Wakenya; Raphael Mungai kutoka Klabu ya KCB ya Kenya anayecheza nafasi ya ushambuliaji na kiungo wake wa zamani, Jerry Santo akitokea Coastal Union ya...

 

11 years ago

GPL

MKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!

Staa wa Muziki na Vichekesho Bongo, Musa Yusuf, a.k.a Mkude Simba akiwa kwenye mahojiano aliyofanya na Global TV Online.
Makala: Shani Ramadhai
AAAAAAAAALO ndiyo msemo unaomtambulisha kwa sasa. Anaijiita Mkude Simba, ametumia jina hilo kama ‘brand’ ya mfumo mpya wa uchekeshaji. Amekubalika na sasa ndiyo habari, kila mtu utamsikia akisema; ‘aaaaaalo, naongea na Mkunde Simba?’.… ...

 

10 years ago

GPL

Mkude: Sijasaini Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude. HABARI ni kuwa, Klabu ya Yanga inamhitaji kwa nguvu zote kiungo wa Simba, Jonas Mkude ambaye ili kumshawishi abaki klabuni hapo, uongozi wa Simba ukaamua kumpa gari, lakini mchezaji huyo ametoa kauli nzito. Mkude ambaye amekabidhiwa gari aina ya Toyota GX 115, ameliambia gazeti hili kuwa, mkataba wake na Simba uliobaki ni ule wa miezi sita pekee na kusisitiza kuwa hajasaini mkataba wowote...

 

11 years ago

Michuzi

mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba

Hapana shaka umeshamsikia Mkude Simba kwenye mitandao, hasa Whatsapp, akichana watu mbavu kwa lafudhi yake ya Kiluguru na vituko kibao. Kama hujamsikia basi Mkude Simba ndio gumzo la mujini hivi sasa. Naye anapatikana katika kituo kipya cha redio inayokuja juu kwa kasi nchini E-FM 93.7 ambapo usiku ni ngoma ya mchiriku kwa kwenda mbele....Hehehheee Pia kituo hicho cha vijana kinarusha vituzzzz live BOFYA HAPA ama hapo juu katika Globu ya Jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani