MAYANJA ATUA TANGA, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION
![](http://1.bp.blogspot.com/-nNyWxeaBYtA/VYrkn4D1FpI/AAAAAAAHjmA/vZFVmHluLr8/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988,Coastal Union,Wagosi wa Kaya imeingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja ambaye ni raia wa Uganda kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu . Utiliaji wa saini wa Kocha huyo ulifanyika leo mjiniTanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa timu ya Coastal Union akiwemo Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Albert Peter na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo508 Jul
Ashley Cole atua AS Roma kwa mkataba wa miaka miwili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBAsa3wqSreV7LMnKCLTMBhwKBN-mk6YxNLqNz77q23RnFaSCIX*4i2YwI3g5ew3lCLHR7rqCKwnWWfM4JjEuzUz/LUIS.jpg)
LUIS ENRIQUE ASAINI MIAKA 2 KUIFUNDISHA BARCELONA
9 years ago
Habarileo16 Aug
Kaseja atua Coastal Union
GOLIKIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga na ameanza mazoezi. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Tanga jana, msemaji wa Coastal Union, Oscar Assenga alikiri ujio wa Kaseja kwenye timu hiyo lakini akasema hajasajiliwa na kwamba wapo kwenye mazungumzo.
10 years ago
Michuzi"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
10 years ago
VijimamboMESI WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
Winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida Machai
TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu ili ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Jamhuri Kiwelu "Julio" atua Coastal Union
![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xrJcpbUW9yM/VO20MNVNwwI/AAAAAAAHF0I/nWpMdri98iE/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKUDE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Singano asaini miaka miwili Azam FC
YAMETIMIA. Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ramadhan Singano ‘Messi’, jana ameingia mkataba wa miaka miwili kuichezea Klabu ya Azam FC.
Kabla Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji mwanzoni mwa wiki hii kumuidhinisha Singano kuwa huru baada ya klabu yake ya zamani, Simba kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wake, kulikuwa na tetesi kuwa Azam FC walitaka kumsajili.
Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, alisema kuwa klabu yao imemsainisha mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAVUMBANGU ASAINI MIAKA MIWILI AZAM FC