Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAYANJA ATUA TANGA, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION

MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988,Coastal Union,Wagosi wa Kaya imeingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja ambaye ni raia wa Uganda kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu . Utiliaji wa saini wa Kocha huyo ulifanyika leo  mjiniTanga  na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa timu ya Coastal Union akiwemo Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Albert Peter na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Ashley Cole atua AS Roma kwa mkataba wa miaka miwili

Hatamiye mchezaji wa zamani na beki wa timu ya taifa ya Uingereza pamoja na Chelsea, Ashley Cole 33,amejiunga rasmi na timu AS Roma na kukubali kutia saini ya mkataba wa miaka miwili na timu hiyo ambapo anatakuwa akipokea mshahara wa euro elfu 48,000 kwa wiki. Ashley Cole akisaini Mkataba wa miaka miwili Roma Kikosi hicho […]

 

11 years ago

GPL

LUIS ENRIQUE ASAINI MIAKA 2 KUIFUNDISHA BARCELONA

Kocha mpya wa Barcelona, Luis Enrique Martínez García. BODI ya wakurugenzi wa timu ya FC Barcelona imethibitisha kuwa Mhispania Luis Enrique Martínez García ndiye kocha mpya wa timu hiyo. Enrique mwenye umri wa miaka 44 aliyewahi kuichezea klabu hiyo akitokea kwa mahasimu wao Real Madrid mwaka 1996, atasaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo yenye maskani yake jijini Barcelona. ...

 

9 years ago

Habarileo

Kaseja atua Coastal Union

GOLIKIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga na ameanza mazoezi. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Tanga jana, msemaji wa Coastal Union, Oscar Assenga alikiri ujio wa Kaseja kwenye timu hiyo lakini akasema hajasajiliwa na kwamba wapo kwenye mazungumzo.

 

10 years ago

Michuzi

"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION

  Meneja wa timu ya Coastal Union,Akida Machai kushoto akimkabidhi Jezi ya Klabu ya Coastal Union winga mpya wa Kulia,Ibrahim Twaha "Messi"mara baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo. winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida MachaiTIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu...

 

10 years ago

Vijimambo

MESI WA SIMBA ATUA COASTAL UNION

Meneja wa timu ya Coastal Union,Akida Machai kushoto akimkabidhi Jezi ya Klabu ya Coastal Union winga mpya wa Kulia,Ibrahim Twaha "Messi"mara baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo.
Winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida Machai


TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu ili ...

 

10 years ago

Michuzi

Jamhuri Kiwelu "Julio" atua Coastal Union

Kocha Msaidizi wa Timu ya Coastal Union,Jamhuri Kiwelu "Julio" (wa pili kulia waliosimama) akisisitiza jambo kwa wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi mara baada ya kuwasilia mkoani Tanga kuifundisha timu hiyo akisaidiana na Kocha Mkuu James Nandwa ( wa nne kushoto).wengine pichani ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Coastal Union,Albert Peter,Katibu Mkuu Coastal Union,Kassim El Siagi na Meneja wa Coastal Union Akida Machai.Kocha Msaidizi wa Coastal Union ,Jamhuri Kiwelu "Julio"akizungumza na...

 

10 years ago

GPL

MKUDE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC

Kiungo wa timu ya Simba SC, Jonas Gerald Mkude (katikati) akisani mkataba mpya mbele ya Rais wa Simba , Evans Aveva (kulia), Zachalia Hans Pope (kushoto) Jonas Gerald Mkude (katikati) akiweka saini ya dole gumba katika mkataba mpya mbele ya Rais wa Simba , Evans Aveva (kulia), Zachalia Hans Pope (kushoto). KIUNGO wa Simba SC, Jonas Gerald Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC na kusema bado nipo...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Singano asaini miaka miwili Azam FC

YAMETIMIA. Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ramadhan Singano ‘Messi’, jana ameingia mkataba wa miaka miwili kuichezea Klabu ya Azam FC.

Kabla Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji mwanzoni mwa wiki hii kumuidhinisha Singano kuwa huru baada ya klabu yake ya zamani, Simba kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wake, kulikuwa na tetesi  kuwa Azam FC walitaka kumsajili.

Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, alisema kuwa klabu yao imemsainisha mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili...

 

11 years ago

GPL

KAVUMBANGU ASAINI MIAKA MIWILI AZAM FC

Kavumbangu akitia dole gomba Mkataba wa Azam leo. NAHODHA wa Burundi, Didier Kavumbangu amesaini Mkataba wa miaka miwili na mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC mchana wa leo. Kavumbangu aliyemaliza Mkataba wake wa miaka miwili Yanga SC, ameamua kusaini Azam FC baada ya kuona klabu yake haina mawasiliano naye licha ya kumaliza Mkataba wake. “Mimi ni mchezaji, kazi yangu ni mpira. Nimemaliza mkataba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani