"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
Meneja wa timu ya Coastal Union,Akida Machai kushoto akimkabidhi Jezi ya Klabu ya Coastal Union winga mpya wa Kulia,Ibrahim Twaha "Messi"mara baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo.
winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida MachaiTIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMESI WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
Winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida Machai
TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu ili ...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Kaseja atua Coastal Union
GOLIKIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga na ameanza mazoezi. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Tanga jana, msemaji wa Coastal Union, Oscar Assenga alikiri ujio wa Kaseja kwenye timu hiyo lakini akasema hajasajiliwa na kwamba wapo kwenye mazungumzo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Jamhuri Kiwelu "Julio" atua Coastal Union
![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xrJcpbUW9yM/VO20MNVNwwI/AAAAAAAHF0I/nWpMdri98iE/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IHCTDvs5W3o/VYLRawtc6cI/AAAAAAAHhA0/uDHA44QjqD8/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
Mnigeria wa Stand United Abasarim Chidiebele atua Coastal Union
![](http://3.bp.blogspot.com/-IHCTDvs5W3o/VYLRawtc6cI/AAAAAAAHhA0/uDHA44QjqD8/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
Mwandishi wetu, Tanga
SHAMBULIAJI wa timu ya Stand United,Abasarim Chidiebele amesaini mkataba wa kuitumikia timu ya Coastal Union kwa mkataba wa miaka mmoja katika msimu ujao wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.Chidiebele atua mkoani Tanga juzi kwa ajili ya kuingia makubaliana na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nNyWxeaBYtA/VYrkn4D1FpI/AAAAAAAHjmA/vZFVmHluLr8/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
MAYANJA ATUA TANGA, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Simba, Coastal Union zatunziana heshima
Karate, au soka? Kiungo wa Simba SC, Ramadhani SIngano ‘Messi’ katikati ya wachezaji wa Coastal, Sabri Rashid kulia na Ayoub Yahya katika mchezo wa leo.(Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog).
Na MOblog Team
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuwatandika Coastal Union ya Tanga mabao 2-0 katika mechi ya kuvutia iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jinini Dar es Salaam.
Mechi hiyo ya kukamilisha raundi ya kwanza ya ligi hiyo iliyoanza juzi...
11 years ago
MichuziSIMBA YAPEPESUKA, YADUNGWA 1-0 NA COASTAL UNION
10 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA