Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMBA YAPEPESUKA, YADUNGWA 1-0 NA COASTAL UNION

Wachezaji wa Simba wakiingia uwanjani wakati wa mchezo wao na Coastal Union ya Tanga. Wachezaji wakisalimiana.  Benchi la ufundi la Simba.  Kikosi cha Coastal Union ya Tanga.  Kikosi cha Simba.  Mashabiki wa Simba wakishangilia timu yao. Mashabiki wa Simba wakichagiza ushindi.  Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Coastal Union ya Tanga, Hamadi Juma katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MESI WA SIMBA ATUA COASTAL UNION

Meneja wa timu ya Coastal Union,Akida Machai kushoto akimkabidhi Jezi ya Klabu ya Coastal Union winga mpya wa Kulia,Ibrahim Twaha "Messi"mara baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo.
Winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida Machai


TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu ili ...

 

10 years ago

Michuzi

"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION

  Meneja wa timu ya Coastal Union,Akida Machai kushoto akimkabidhi Jezi ya Klabu ya Coastal Union winga mpya wa Kulia,Ibrahim Twaha "Messi"mara baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo. winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida MachaiTIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simba, Coastal Union zatunziana heshima

MESSI

Karate, au soka? Kiungo wa Simba SC, Ramadhani SIngano ‘Messi’ katikati ya wachezaji wa Coastal, Sabri Rashid kulia na Ayoub Yahya katika mchezo wa leo.(Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog).

Na MOblog Team

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba,  walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuwatandika Coastal Union ya Tanga mabao 2-0 katika mechi ya kuvutia iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jinini Dar es Salaam.

Mechi hiyo ya kukamilisha raundi ya kwanza ya ligi hiyo iliyoanza juzi...

 

10 years ago

GPL

SIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA

Kikosi cha wachezaji wa Simba kilichoanza katika mchezo wa leo Kikosi cha wachezaji wa Coastal Union kilichoanza katika mchezo wa leo…

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Coastal Union beat Simba SC to sign Gor ace

>Coastal Union have beaten Simba SC for the services of former Gor Mahia midfielder Rama Salim.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani