Simba, Coastal Union zatunziana heshima
Karate, au soka? Kiungo wa Simba SC, Ramadhani SIngano ‘Messi’ katikati ya wachezaji wa Coastal, Sabri Rashid kulia na Ayoub Yahya katika mchezo wa leo.(Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog).
Na MOblog Team
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuwatandika Coastal Union ya Tanga mabao 2-0 katika mechi ya kuvutia iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jinini Dar es Salaam.
Mechi hiyo ya kukamilisha raundi ya kwanza ya ligi hiyo iliyoanza juzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIMBA YAPEPESUKA, YADUNGWA 1-0 NA COASTAL UNION
10 years ago
VijimamboMESI WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
Winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida Machai
TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu ili ...
10 years ago
Michuzi"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
10 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA
Kikosi cha wachezaji wa Simba kilichoanza katika mchezo wa leo Kikosi cha wachezaji wa Coastal Union kilichoanza katika mchezo wa leo…
10 years ago
TheCitizen19 Aug
SOCCER: Coastal Union beat Simba SC to sign Gor ace
>Coastal Union have beaten Simba SC for the services of former Gor Mahia midfielder Rama Salim.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania