Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!

Staa wa Muziki na Vichekesho Bongo, Musa Yusuf, a.k.a Mkude Simba akiwa kwenye mahojiano aliyofanya na Global TV Online.
Makala: Shani Ramadhai
AAAAAAAAALO ndiyo msemo unaomtambulisha kwa sasa. Anaijiita Mkude Simba, ametumia jina hilo kama ‘brand’ ya mfumo mpya wa uchekeshaji. Amekubalika na sasa ndiyo habari, kila mtu utamsikia akisema; ‘aaaaaalo, naongea na Mkunde Simba?’.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba

Hapana shaka umeshamsikia Mkude Simba kwenye mitandao, hasa Whatsapp, akichana watu mbavu kwa lafudhi yake ya Kiluguru na vituko kibao. Kama hujamsikia basi Mkude Simba ndio gumzo la mujini hivi sasa. Naye anapatikana katika kituo kipya cha redio inayokuja juu kwa kasi nchini E-FM 93.7 ambapo usiku ni ngoma ya mchiriku kwa kwenda mbele....Hehehheee Pia kituo hicho cha vijana kinarusha vituzzzz live BOFYA HAPA ama hapo juu katika Globu ya Jamii.

 

10 years ago

GPL

Mkude: Sijasaini Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude. HABARI ni kuwa, Klabu ya Yanga inamhitaji kwa nguvu zote kiungo wa Simba, Jonas Mkude ambaye ili kumshawishi abaki klabuni hapo, uongozi wa Simba ukaamua kumpa gari, lakini mchezaji huyo ametoa kauli nzito. Mkude ambaye amekabidhiwa gari aina ya Toyota GX 115, ameliambia gazeti hili kuwa, mkataba wake na Simba uliobaki ni ule wa miezi sita pekee na kusisitiza kuwa hajasaini mkataba wowote...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mil. 60 zamshika Mkude Simba

HATIMAYE klabu ya Simba imefanikiwa kumbakiza kiungo wake Jonas Mkude aliyekuwa akimezewa mate na timu za Yanga ama Azam FC katika dirisha la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Novemba 15, baada ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude arejea Simba

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkude awazia ubingwa Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude amesema ushindi wa kwanza walioupata dhidi ya Ruvu Shooting umewapa morali na watahakikisha hawarudi nyuma na watajitahidi watwae ubingwa msimu huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkude kujifua kinoma Simba

Kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude amedhamiria kufanya mazoezi mara mbili zaidi ili kupigania namba kikosi cha kwanza msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu

Klabu ya Gor Mahia ya Kenya inafikiria kumrudisha kipa wake wa zamani, Ivo Mapunda msimu ujao, wakati kiungo Jonas Mkude akisaini mkataba wa miaka mitatu kwa gharama Sh60 milioni kuitumikia Simba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitale kutoka na video za Mkude Simba

MSANII wa filamu na vichekesho nchini, Mussa Kitale ‘Kitale’, amesema kutokana na mafanikio aliyoyapata katika programu ya miito ya simu kwa kutumia vichekesho vyake vya ‘Mkude Simba’ sasa anatarajia kutoa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wazo la Mkude Simba Si Mchezo- Kitale

HAIKUWA rahisi kugundua na kubaini vibwagizo vya Mkude Simba vilivyoibuka ghafla kuteka jiji la Dar es Salaam pamoja na nchini nzima mwasisi wa wazo hilo alikuwa ni Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ anasema kuwa wazo hilo liliandaliwa kwa muda wa miaka miwili na kuja kuteka umma.

“Wazo la Mkude Simba nilikuwa nalo toka mwaka 2012 lakini nilipokuwa najaribu kulitumia baadhi ya Redio zilishindwa kunielewa, lakini Efm walinielewa na kutumia vibwagezo vyangu vya Mkude Simba,”anasema Kitale.

Kitale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani