Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu
Klabu ya Gor Mahia ya Kenya inafikiria kumrudisha kipa wake wa zamani, Ivo Mapunda msimu ujao, wakati kiungo Jonas Mkude akisaini mkataba wa miaka mitatu kwa gharama Sh60 milioni kuitumikia Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Ivo Mapunda aitwa AFC Leopards
ALIYEKUWA Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amemkumbuka kipa Ivo Mapunda ameonyesha nia ya kutaka kumsajili katika timu yake ya sasa ya AFC Leopard ya Kenya.
Mapunda alisema kuwa amepata mwaliko kutoka kwa Logarusic kwenda kuichezea timu hiyo huku taratibu nyingine zikiendelea.
“Logarusic anajua kazi yangu ni kocha ambaye nilikuwa nae Gor Mahia na Simba, baada ya kusikia nimeachwa alinipigia simu na kuniambia niende kwenye timu yake.
“Kuhusu suala la mkataba alijaniambia ili...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UxYZkcwV3oU/U6XtJibnBVI/AAAAAAAFsNQ/CIU5G42UYZY/s72-c/GlobalPublishertopefm.jpg)
mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba
![](http://3.bp.blogspot.com/-UxYZkcwV3oU/U6XtJibnBVI/AAAAAAAFsNQ/CIU5G42UYZY/s1600/GlobalPublishertopefm.jpg)
11 years ago
GPLMKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/15pbGCBw7iOD008gYNdIVjhqjqHra5OiFJJDX9mWzcO0XoaGiF*YRMVyU9Upk0Ys9Xy8WxnwLHkthmdIOfvF7DK3maP0mLIP/jonas.jpg?width=650)
Mkude: Sijasaini Simba
11 years ago
Mwananchi26 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Rage aitwa Mahakamani
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mkude awazia ubingwa Simba
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mil. 60 zamshika Mkude Simba
HATIMAYE klabu ya Simba imefanikiwa kumbakiza kiungo wake Jonas Mkude aliyekuwa akimezewa mate na timu za Yanga ama Azam FC katika dirisha la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Novemba 15, baada ya...
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Mkude kujifua kinoma Simba
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jonas Mkude arejea Simba
KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...