Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI SIMBA: Rage aitwa Mahakamani

Wakati Mahakama Kuu ikimuita mahakamani mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage na baraza lake la wadhamani, wagombea uongozi wa klabu hiyo jana walizindua kampeni zao, huku suala uwanja wake na rasilimali watu likichukua nafasi kubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mdee aitwa mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani, ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.

Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Janeth Kaluyenda, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee, wa tatu Renina Leafyagila na wa sita Sophia Fanuel hawajafika...

 

10 years ago

Mwananchi

JK aitwa mahakamani kutoa ushahidi

Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa mashahidi wanaotarajiwa kuitwa na walalamikaji katika shauri dhidi ya nchi za Kenya, Uganda na Rwanda linaloendelea katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).

 

11 years ago

GPL

RAGE: UCHAGUZI SIMBA UPO PALE PALE

Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage. MWENYEKITI wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage amesema kwamba, uchaguzi wa klabu hiyo upo pale pale kama ulivyopangwa Juni 29, mwaka huu kwa sababu si yeye wala Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mwenye uwezo wa kutengua hilo kwa sasa. Akizungumza mjini Dodoma leo mchana, Rage ambaye pia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), amesema kwamba yeye hana mamlaka Kikatiba kwa sasa kubatilisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu

Klabu ya Gor Mahia ya Kenya inafikiria kumrudisha kipa wake wa zamani, Ivo Mapunda msimu ujao, wakati kiungo Jonas Mkude akisaini mkataba wa miaka mitatu kwa gharama Sh60 milioni kuitumikia Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Rage alalama Simba

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Rage ajivua lawama Simba

>Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ameibuka na kusema kuwa lawama za kutokumsajili mshambuliaji wao wa zamani kutoka Uganda, Emmanuel Okwi zielekezwe kwa Kamati ya Usajili na Ufundi wa timu hiyo na wala siyo yeye.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtambua Rage Simba

>Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji TFF, imemtaka mwenyekiti halali wa Simba, Ismail Rage kuitisha Mkutano Mkuu kwa mujibu wa taratibu za klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani