Rage ajivua lawama Simba
>Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ameibuka na kusema kuwa lawama za kutokumsajili mshambuliaji wao wa zamani kutoka Uganda, Emmanuel Okwi zielekezwe kwa Kamati ya Usajili na Ufundi wa timu hiyo na wala siyo yeye.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
JK ajivua lawama Bunge la Katiba
LICHA ya hotuba yake ya uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba kutajwa kama chanzo cha kuvurugika kwa bunge hilo, Rais Jakaya Kikwete amejivua lawama hizo, akidai wajumbe wa vyama vya...
9 years ago
Mtanzania17 Aug
ajivua lawama urais CCM
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete ameanza kujivua lawama kuhusu mchakato wa urais baada ya kusema mwanachama yeyote wa chama hicho anayetoka kwa sasa anafanya hivyo kwa hiari na mapenzi yake.
Ametoa kauli hiyo huku kukiwa na wimbi la makada wa CCM wakihama chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea urais
Kikwete amesema uamuzi huo ulifanyika kwa mujibu wa Katiba ya CCM na zilipigwa kura ndani ya...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Katiba Mpya: Rais Kikwete ajivua lawama
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3BIx1BHMs-kyHMWYoZlWVb71GVYH0vXLxUb9y0AURvP2OkVWyIj2Sflpvsq-e2K*6eScPX-Q*0nGJlZS-g3Oy*W/rage.jpg?width=650)
Rage anusurika kipigo Simba
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Rage akabidhi ofisi Simba
HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, jana alikabidhi rasmi ofisi Makao Makuu ya klabu hiyo kwa Rais Evans Aveva na kamati yake ya utendaji, ikiwamo mikataba mbalimbali iliyosaini...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yamtambua Rage Simba
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Simba wamwendea Rage bungeni
HARAKATI za kumwondoa madarakani Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutuvengere’, zimezidi kushika kasi baada ya wanachama kuamua kufunga safari kutoka jijini Dar es Salaam hadi mjini Dodoma...