Rage akabidhi ofisi Simba
HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, jana alikabidhi rasmi ofisi Makao Makuu ya klabu hiyo kwa Rais Evans Aveva na kamati yake ya utendaji, ikiwamo mikataba mbalimbali iliyosaini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3BIx1BHMs-kyHMWYoZlWVb71GVYH0vXLxUb9y0AURvP2OkVWyIj2Sflpvsq-e2K*6eScPX-Q*0nGJlZS-g3Oy*W/rage.jpg?width=650)
Rage anusurika kipigo Simba
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage (kushoto) akiongea na wanachama wa Simba siku ya jana Jumapili. Na Sweetbet Lukonge
MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, jana Jumapili alinusurika kuchezea kichapo kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo katika Mkutano Mkuu wa Katiba uliofanyika kwenye Ukumbi wa Maofisa wa Polisi uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.… ...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Rage ajivua lawama Simba
>Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ameibuka na kusema kuwa lawama za kutokumsajili mshambuliaji wao wa zamani kutoka Uganda, Emmanuel Okwi zielekezwe kwa Kamati ya Usajili na Ufundi wa timu hiyo na wala siyo yeye.
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Simba wamwendea Rage bungeni
HARAKATI za kumwondoa madarakani Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutuvengere’, zimezidi kushika kasi baada ya wanachama kuamua kufunga safari kutoka jijini Dar es Salaam hadi mjini Dodoma...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yamtambua Rage Simba
>Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji TFF, imemtaka mwenyekiti halali wa Simba, Ismail Rage kuitisha Mkutano Mkuu kwa mujibu wa taratibu za klabu hiyo.
11 years ago
Mwananchi26 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Rage aitwa Mahakamani
Wakati Mahakama Kuu ikimuita mahakamani mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage na baraza lake la wadhamani, wagombea uongozi wa klabu hiyo jana walizindua kampeni zao, huku suala uwanja wake na rasilimali watu likichukua nafasi kubwa.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Simba wamshtaki Rage kwa Spika
Zikiwa zimebaki siku nane, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lipigilie msumari kwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, wanachama wa klabu hiyo juzi walitinga bungeni kumshtaki Mwenyekiti huyo kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda.
10 years ago
Vijimambo17 Apr
Rage awaita Simba kuishangilia Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2687292/highRes/993090/-/maxw/600/-/9l7j5yz/-/rage+picha.jpg)
Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.JUMAMOSI Yanga itashuka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuivaa Etoile Du Sahel ya Tunisia katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.Hata hivyo Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage, ameamua kuweka kando itikadi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania