Simba wamshtaki Rage kwa Spika
Zikiwa zimebaki siku nane, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lipigilie msumari kwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, wanachama wa klabu hiyo juzi walitinga bungeni kumshtaki Mwenyekiti huyo kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wananchi wamshtaki JK kwa UKAWA
WAKAZI wa Sumbawanga, wamlalamikia Rais Jakaya Kikwete, kuwa ni miongoni watu wanaokwamisha mchakato wa Katiba mpya kutoa kauli tata. Malalamiko hayo wameyatoa juzi mbele ya viongozi wa Umoja wa Katiba...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
CCM wamshtaki Massawe kwa JK
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Fabian Massawe, kikidai kuwa ndiye chanzo cha mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba,...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Wananchi wamshtaki Pinda kwa Kinana
NA ELIYA MBONEA, NGORONGORO
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anadaiwa kutoa ahadi hewa ya magunia 10 ya mahindi kwa kila kaya kwa mwaka kama njia mbadala ya kilimo cha kujikimu kwa wananchi wanaoishi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, mkoani Arusha.
Ahadi hiyo aliitoa Septemba 19, mwaka juzi, akiwa Endulen wilayani hapa, bila kuwapo kwa maandishi ya Serikali, hatua inayoligharimu Baraza la Wafugaji la Wilaya ya Ngorongoro kwa sasa mbele ya wananchi.
Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Wamshtaki Mugabe kwa kuwafuta kazi
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yamtambua Rage Simba
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Rage akabidhi ofisi Simba
HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, jana alikabidhi rasmi ofisi Makao Makuu ya klabu hiyo kwa Rais Evans Aveva na kamati yake ya utendaji, ikiwamo mikataba mbalimbali iliyosaini...