Wamshtaki Mugabe kwa kuwafuta kazi
Washirika wawili wa zamani wa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe wanamshtaki kwa kuwafuta kazi kiholela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Twitter kuwafuta kazi watu 336
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Anglo American kuwafuta kazi 85,000
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wananchi wamshtaki JK kwa UKAWA
WAKAZI wa Sumbawanga, wamlalamikia Rais Jakaya Kikwete, kuwa ni miongoni watu wanaokwamisha mchakato wa Katiba mpya kutoa kauli tata. Malalamiko hayo wameyatoa juzi mbele ya viongozi wa Umoja wa Katiba...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
CCM wamshtaki Massawe kwa JK
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Fabian Massawe, kikidai kuwa ndiye chanzo cha mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba,...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Simba wamshtaki Rage kwa Spika
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Wananchi wamshtaki Pinda kwa Kinana
NA ELIYA MBONEA, NGORONGORO
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anadaiwa kutoa ahadi hewa ya magunia 10 ya mahindi kwa kila kaya kwa mwaka kama njia mbadala ya kilimo cha kujikimu kwa wananchi wanaoishi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, mkoani Arusha.
Ahadi hiyo aliitoa Septemba 19, mwaka juzi, akiwa Endulen wilayani hapa, bila kuwapo kwa maandishi ya Serikali, hatua inayoligharimu Baraza la Wafugaji la Wilaya ya Ngorongoro kwa sasa mbele ya wananchi.
Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mugabe amfuta kazi makamu wake
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Rais Mugabe amfuta kazi makamu wake
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209103755_joyce_mujuru_624x351__nocredit.jpg)
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.
Awali Bi Joyce Mujuru, alikanusha madai kuwa yeye ni mfisadi na alihusika na njama ya kutaka kumuua rais Robert Mugabe.
Bi Mujuru alilaaniwa na Rais Mugabe wiki iliyopita na kuondolewa kutoka wadhifa wake wa makamu wa rais wa chama tawala cha ZANU-PF wakati wa kongamano la chama hicho mjini Harare.
Amesema ameendelea kupokea...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Chama Cha Wahasibu Kuwafuta Wanaokiuka Maadili
Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa chama cha wahasibu Tanzania, George Binde, Mwenyekiti, Fred M. Msemwa, Secretary, Dyoya D. James na Mtendaji Mkuu, Valerian Rweyemamu Kaijage.
Msemwa (katikati) akitoa ufafanuzi wa jambo.
Viongozi hao wakitafakari kujibu maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari ( hawapo pichani).
Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Chama cha Wahasibu Tanzania ‘TAA’ kimesema kuwa kitawafuta katika daftari lake la uanachama wahasibu wanaokiuka maadili ya...