Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twitter kuwafuta kazi watu 336

Mtandao wa Twitter umesema kuwa unapunguza kazi 336 ikiwa ni asilimia 8 ya ajira zote duniani za mtandao huo kama mpango wa kuimarisha biashara yake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wamshtaki Mugabe kwa kuwafuta kazi

Washirika wawili wa zamani wa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe wanamshtaki kwa kuwafuta kazi kiholela.

 

9 years ago

BBCSwahili

Anglo American kuwafuta kazi 85,000

Anglo American inayochimba madini ya almasi, makaa ya mawe, chuma inapania kuwapunguza zaidi ya wafanyikazi 85,000.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu huru kutumia Twitter Uturuki

Maafisa wa utawala nchini Uturuki wameondoa marufuku ya Twitter baada ya mahakama kutoa uamuzi huo.

 

5 years ago

Quartz

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts  QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report  The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk  CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive  Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa  Sputnik InternationalView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

Unawaambia nini watu wanaodharau kazi za watu?

Kila binadamu ananjia zake za kutafuta ridhiki ili aweze kuishi na kupata mahitaji yake muhimu,kuna binadamu ambao wao hujiona ni bora kuliko wengine mpaka kufika hatua ya kuwadharau na kuwapuuza watu wa kipato cha chini,wanasahau kuwa maisha ni kutegemeana huyu asipofanya kazi ya kuuza mkaa yeye anaweza kushindwa kula sababu ili ale huenda mkaa ungesaidia kupika.huyu asipozibua vyoo kesho wewe utashindwa kutumia choo chako ulichokijenga kwa gharama kubwa.

 

10 years ago

Habarileo

Faini Dar zaingizia serikali mil 336/-

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kupitia kikosi chake cha usalama barabarani wamekusanya zaidi ya Sh milioni 336 kama tozo kwa makosa mbalimbali ya kukiuka sheria za usalama barabarani.

 

10 years ago

GPL

Phiri atoa saa 336 first eleven ya hatari Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Waandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, ametoa wiki mbili au dakika 336 kabla ya kupata first eleven ya hatari itakayompa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu ujao. Phiri aliyetua Simba wiki iliyopita kuchukua mikoba ya Mcroatia, Zdravko Logarusic na Championi likawa gazeti la kwanza kuandika, yupo kisiwani Zanzibar akiendelea kuinoa timu hiyo. Phiri aliyeipa Simba...

 

9 years ago

Global Publishers

Chama Cha Wahasibu Kuwafuta Wanaokiuka Maadili

1.Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa chama cha wahasibu Tanzania,George Binde, Mwenyekiti,  Fred M. Msemwa, Secretary, Dyoya D. James na Mtendaji mkuu wa chama hicho, Valerian Rweyemamu Kaijage.Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa chama cha wahasibu Tanzania, George Binde, Mwenyekiti, Fred M. Msemwa, Secretary, Dyoya D. James na Mtendaji Mkuu, Valerian Rweyemamu Kaijage.2.Msemwa (katikati) akitoa ufafanuzi wa jambo.Msemwa (katikati) akitoa ufafanuzi wa jambo.3.Viongozi hao wakitafakari kujibu maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari ( hawap pichani).Viongozi hao wakitafakari kujibu maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari ( hawapo pichani).4.Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.

Chama cha Wahasibu Tanzania ‘TAA’  kimesema kuwa kitawafuta katika daftari lake  la uanachama wahasibu wanaokiuka maadili ya...

 

11 years ago

GPL

JAMBAZI LINALOUA WATU LAFUNGIWA KAZI

Stori: Mwandishi Wetu, TARIME
LILE jambazi linaloua watu wasio na hatia Tarime, Mara lipo katika wakati mgumu kufuatia wananchi wa wilayani humo kumfungia kazi kwa kumsaka licha ya Jeshi la Polisi Tanzania, Makao Makuu kutuma askari wake kwa ajili ya kumsaka. Kwa mujibu wa chanzo chetu Tarime, wananchi wamesema wamechoka kuona mdunguaji huyo anaendelea kutamba kwa kutoa roho za watu kama ninja. “Wananchi wengi hapa Tarime...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani