Unawaambia nini watu wanaodharau kazi za watu?
Kila binadamu ananjia zake za kutafuta ridhiki ili aweze kuishi na kupata mahitaji yake muhimu,kuna binadamu ambao wao hujiona ni bora kuliko wengine mpaka kufika hatua ya kuwadharau na kuwapuuza watu wa kipato cha chini,wanasahau kuwa maisha ni kutegemeana huyu asipofanya kazi ya kuuza mkaa yeye anaweza kushindwa kula sababu ili ale huenda mkaa ungesaidia kupika.huyu asipozibua vyoo kesho wewe utashindwa kutumia choo chako ulichokijenga kwa gharama kubwa.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0SmRS32IjVEtH7V9ZNtDSNOgbkWksobqlVKu-5HSHvq*CafodgkjqjkvmA8L69b297cwbhrJFghkcYpkJrAbqu/frontpageyoungmancopingstress1.jpg)
KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kwa nini watu hupoteza hamu ya kujamiiana? -2
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Tunasubiri nini kuwamwaga watu wa aina hii?
10 years ago
GPLKWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?- 8
5 years ago
BBCSwahili15 May
Kwa nini watu wanaonyanyaswa hawawaachi wapenzi wao?
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Kwa nini baadhi ya watu mashuhuri hutumia dawa na kujidhuru ?
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Kwa nini watu hawa wanajitenga kwenye miti
10 years ago
Vijimambo08 Oct
KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/10/ndumba.jpg)
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...