Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini watu hupoteza hamu ya kujamiiana? -2

Katika utafiti uliofanyika miaka ya karibuni nchini Marekani, imebainika kwamba kati ya ndoa 6,000 zilizovunjika, asilimia 57 zimesababishwa na mwenza mmoja au wote kupenda kuchati au kutumia intaneti kupita kiasi na hivyo kusababisha msisimko kupotea kati ya wenza wawili na hatimaye mwisho ni kupungua uwezo au hamu ya kujamiana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nini unachotakiwa kufanya unapokosa hamu ya kujamiiana

>Masanja na mke wake Saumu wameishi kwenye ndoa kwa miaka kumi sasa. Hapo awali, kila kitu kilikuwa sawa katika uhusiano wao, lakini katika miaka ya karibuni, Masanja amekuwa hana matamanio tena na Saumu; hana hamu kabisa ya tendo la ndoa.

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-5

Natumaini utakuwa u-mzima wa afya kabisa. Kwa wiki kama nne mfululizo tumekuwa tukiangalia juu ya tatizo la wanawake wengi kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia sababu za tatizo hilo na tukaangalia athari zake na wiki iliyopita na kujifunza njia za kutatua tatizo hilo. Kama ilivyo matatizo mengine tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa sana kama...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4

Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?

MPENDWA msomaji wa makala haya, natumaini unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Kama kawaida, leo tunaendelea na shule yetu ya ujasirimali. Kwa pamoja, nataka tuangalie kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika ujasiriamali au katika maisha yao. Kuna sababu nyingi kwa nini wengi hushindwa maishani lakini sababu kuu ya msingi, huwa ni kukosa maarifa na ufahamu wa kufanya biashara au ajira katika kiwango cha juu kadiri...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?- 8

NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na kazi ya kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo kupitia ujasiriamali. Mada tunayoendelea kuijadili ni sababu zinazofanya watu wengi washindwe kufanikiwa. Wiki iliyopita, niliishia kueleza kwamba watu wengi hawafanikiwi kwa sababu hawawezi kuwa mabahili katika matumizi ya pesa wanazozipata. Niliishia kukupa mfano wa jinsi mimi na dada yangu tulivyokuwa na hulka tofauti za...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini watu wanaonyanyaswa hawawaachi wapenzi wao?

Simulizi ya masaibu ya mwanaume aliyenyanyaswa kingono na jinsi alivyojinasua.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu hawa hawana hamu na soka Brazil

Hawana muda na heka heka za kombe la dunia zinazoshuhudiwa nchini Brazil.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini baadhi ya watu mashuhuri hutumia dawa na kujidhuru ?

Kuna methali ya visiwani Haiti isemayo mtu mdogo hufanya analomudu ilihali mkubwa hufanya atakavyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima

Lakini je vijana wa siku hizi wanachukuliaje maisha ya kuanza kuwa mtu mzima?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani