Nini unachotakiwa kufanya unapokosa hamu ya kujamiiana
>Masanja na mke wake Saumu wameishi kwenye ndoa kwa miaka kumi sasa. Hapo awali, kila kitu kilikuwa sawa katika uhusiano wao, lakini katika miaka ya karibuni, Masanja amekuwa hana matamanio tena na Saumu; hana hamu kabisa ya tendo la ndoa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kwa nini watu hupoteza hamu ya kujamiiana? -2
Katika utafiti uliofanyika miaka ya karibuni nchini Marekani, imebainika kwamba kati ya ndoa 6,000 zilizovunjika, asilimia 57 zimesababishwa na mwenza mmoja au wote kupenda kuchati au kutumia intaneti kupita kiasi na hivyo kusababisha msisimko kupotea kati ya wenza wawili na hatimaye mwisho ni kupungua uwezo au hamu ya kujamiana.
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Unachotakiwa kufanya ili uwe na ndoa yenye amani-2
Kama unaingia kwenye ndoa kwa sababu ya kumkera fulani, fahamu kwamba hilo ni kosa na linasababisha wakati fulani watu kujuta kwanini amekutana na fulani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzmVi8fXKz-lbponLKOyM2SIJxBLv-ttW6qgKg8cVKHHX4pHx*aylQhYdIJQIiNhygKiBFahD7OP**ZK21kMsNZt/how_to_deal_with_a_bad_break_up1024x685.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4
Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMs4*EPdrSGqXnfK96f7-mpHwGvdIQxmfYE5X3lXPm*f6SLBJbeMt90IcXLpq4HeXV70-St5WyqMneMaGph*h*Gr/unhappyyoungcouplesittingonbed.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-5
Natumaini utakuwa u-mzima wa afya kabisa. Kwa wiki kama nne mfululizo tumekuwa tukiangalia juu ya tatizo la wanawake wengi kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia sababu za tatizo hilo na tukaangalia athari zake na wiki iliyopita na kujifunza njia za kutatua tatizo hilo. Kama ilivyo matatizo mengine tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa sana kama...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YlhCLV5dzUa-0Lwhq-twBA7vkUIH1Lo9LskDDR6P8KgiSY8NifTQW2ZahnemxadMaS0Ik4TCYnOnli0ToZZbChk/valentinesdayhappycouples_00171161.jpg)
UNATAFUTA MCHUMBA? NINI CHA KUFANYA?
KWENYE dunia ya leo kila mtu aliyekamilika anahitaji mchumba. Uchumba ni hatua muhimu ya kuelekea kwenye ndoa. Huwezi kuingia kwenye ndoa bila kupitia katika safari ya uchumba. Safari hii inahitaji umakini wa hali ya juu maana ukikosea, safari ya kuelekea kwenye ndoa itakuwa na matatizo kwako. Hiyo ndiyo sababu ya leo kukuletea mada hii ili wewe msomaji wangu upate kuelimika. Lazima tutambue kwamba, safari ya uchumba inaanza kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdKBUAsz9t0D*bdRQ8Qxk6QIrmZGSy9ooZ5Qqw7OvjXhWd8YJhbQRCUNcTe0L9--eS4I8wOXncO2ESFJtvx0O42/5.jpg?width=650)
HAKURIDHISHI FARAGHA, NINI CHA KUFANYA?
NIJumamosi nyingine mpenzi msomaji wa safu hii ya Show The Love tunakutana kwa ajili ya kupeana darasa la uhusiano.Uzuri wa mapenzi ni kuridhishana. Kila mmoja ‘ainjoi’ kukutana na mwenzake, alifurahie tendo katika hali ambayo hawezi kuwa na hamu ya mapenzi pindi mnapokuwa mmemaliza tendo. Kinyume na hapo, kukiwa na tatizo katika upande mmoja, furaha ya tendo inaondoka. Mmoja kati ya wapendanao anakuwa na shauku ya...
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?
MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: J-Cole amekuja kufanya nini Tanzania?
Rapper wa Marekani, J-Cole ameonekana kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro Jumatano hii. J-Cole akiwa KIA Haijulikani amekuja kufanya nini lakini huenda ikawa ni safari binafsi. Mtu mmoja aitwaye Keirocker amepost picha akiwa na rapper huyo kwenye Instagram na kuandika: Wow Just ran into the rapper J COLE at the Kilimanjaro Airport I […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN6utq0XlNSu74jiUm9WDxVf4rweZ7bVeB1jaiLo4woX3zctwRHqU7PN3d-gHJ8lEAmkAIz2wVhw-w485OY01-a1/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-3
6. Anaendelea kumpa misaada mbalimbali. Ukiona mpenzi wako anaendelea kumsaidia ex wake kama kumtumia muda wa maongezi, fedha za matumizi au kodi ya chumba, ujue bado wanapendana na anafanya hayo kwa sababu anaamini ipo siku watarudiana. 7. Bado anazo zawadi walizokuwa wanapeana kipindi cha nyuma. Ukiona mpenzi wako bado anatunza zawadi walizowahi kupeana na ex wake kipindi cha mapenzi yao, ni dhahiri kwamba bado anampenda na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania