Picha: J-Cole amekuja kufanya nini Tanzania?
Rapper wa Marekani, J-Cole ameonekana kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro Jumatano hii. J-Cole akiwa KIA Haijulikani amekuja kufanya nini lakini huenda ikawa ni safari binafsi. Mtu mmoja aitwaye Keirocker amepost picha akiwa na rapper huyo kwenye Instagram na kuandika: Wow Just ran into the rapper J COLE at the Kilimanjaro Airport I […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Andy Cole awapa nafasi U-17 wa Tanzania
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Andy Cole amewaasa vijana walio chini ya miaka 17, kuongeza bidii ili kutimiza ndoto zao za kucheza kwenye timu kubwa duniani.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YlhCLV5dzUa-0Lwhq-twBA7vkUIH1Lo9LskDDR6P8KgiSY8NifTQW2ZahnemxadMaS0Ik4TCYnOnli0ToZZbChk/valentinesdayhappycouples_00171161.jpg)
UNATAFUTA MCHUMBA? NINI CHA KUFANYA?
KWENYE dunia ya leo kila mtu aliyekamilika anahitaji mchumba. Uchumba ni hatua muhimu ya kuelekea kwenye ndoa. Huwezi kuingia kwenye ndoa bila kupitia katika safari ya uchumba. Safari hii inahitaji umakini wa hali ya juu maana ukikosea, safari ya kuelekea kwenye ndoa itakuwa na matatizo kwako. Hiyo ndiyo sababu ya leo kukuletea mada hii ili wewe msomaji wangu upate kuelimika. Lazima tutambue kwamba, safari ya uchumba inaanza kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdKBUAsz9t0D*bdRQ8Qxk6QIrmZGSy9ooZ5Qqw7OvjXhWd8YJhbQRCUNcTe0L9--eS4I8wOXncO2ESFJtvx0O42/5.jpg?width=650)
HAKURIDHISHI FARAGHA, NINI CHA KUFANYA?
NIJumamosi nyingine mpenzi msomaji wa safu hii ya Show The Love tunakutana kwa ajili ya kupeana darasa la uhusiano.Uzuri wa mapenzi ni kuridhishana. Kila mmoja ‘ainjoi’ kukutana na mwenzake, alifurahie tendo katika hali ambayo hawezi kuwa na hamu ya mapenzi pindi mnapokuwa mmemaliza tendo. Kinyume na hapo, kukiwa na tatizo katika upande mmoja, furaha ya tendo inaondoka. Mmoja kati ya wapendanao anakuwa na shauku ya...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Nini unachotakiwa kufanya unapokosa hamu ya kujamiiana
>Masanja na mke wake Saumu wameishi kwenye ndoa kwa miaka kumi sasa. Hapo awali, kila kitu kilikuwa sawa katika uhusiano wao, lakini katika miaka ya karibuni, Masanja amekuwa hana matamanio tena na Saumu; hana hamu kabisa ya tendo la ndoa.
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?
MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1biX-Q4FZdRdZjHBZnaI7zza*6H*P3YzNocMkKnBLQ7hULpUS66CUr4YmGabboF1FxJo*ag6JkNLSBhqZnCqvm/mahaba.jpg?width=650)
NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?
Nianze kwa kumshukuru Mungu ambaye ameniweka hai mpaka siku hii ya leo, tunapokutana tena kwenye uwanja wetu huu kujuzana, kujadiliana, kuelimishana na kuzungumzia ishu mbalimbali zinazohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka kuzungumza na wewe mama, dada, shangazi au mwanamke ambaye upo kwenye uhusiano wa kudumu, nikimaanisha umeolewa. Je, umewahi kugundua, kuhisi au kuambiwa kwamba mumeo mliyeishi pamoja kwa kipindi kirefu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN6utq0XlNSu74jiUm9WDxVf4rweZ7bVeB1jaiLo4woX3zctwRHqU7PN3d-gHJ8lEAmkAIz2wVhw-w485OY01-a1/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-3
6. Anaendelea kumpa misaada mbalimbali. Ukiona mpenzi wako anaendelea kumsaidia ex wake kama kumtumia muda wa maongezi, fedha za matumizi au kodi ya chumba, ujue bado wanapendana na anafanya hayo kwa sababu anaamini ipo siku watarudiana. 7. Bado anazo zawadi walizokuwa wanapeana kipindi cha nyuma. Ukiona mpenzi wako bado anatunza zawadi walizowahi kupeana na ex wake kipindi cha mapenzi yao, ni dhahiri kwamba bado anampenda na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSshcFJ5RcM1hWwyF4PHzYWGEw1206gX5Fd*Anuw1SD3VUMvHnnBD2LNDhsrC8rQXfYyL9-J5FEhAr0MHQT1PcFO/xxlv.gif)
NINI CHA KUFANYA WAZAZI, NDUGU WANAPOMCHUKIA UMPENDAYE?-2
Tuliangalia mfano wa jinsi mwanaume mmoja ambaye yupo ndani ya ndoa kwa kipindi cha miaka kumi, alivyokuwa kwenye mgogoro mkubwa baada ya mke wake wa ndoa kutokea kuwachukia na kuwadharau mno wazazi wa mwanaume kwa sababu ambazo anazijua mwenyewe. Wazazi nao wakaja juu na kumwambia achague moja, mke au wazazi na kujikuta akishindwa kuamua. Leo tunaendelea kueleza nini cha kufanya unapotokewa na hali kama iliyomkuta ndugu yetu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRGEu1HQewzepKqjUEixPglD57QIEIjkgh9kd2qiA7fr3FIHwcxTGhGFJWcIXwLXfvmGSb5YQL4syyvxUhD-emQ/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-2
Shukrani ziende kwake Muumba ambaye kwa mara nyingine ametupa nafasi ya kukutana kwenye uwanja wetu huu, tukijuzana, kuelimishana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada hii kama inavyosomeka kwenye kichwa cha habari kuhusu hatua unazopaswa kuzichukua unapogundua kuwa mpenzi wako, mumeo au mkeo ana mawasiliano na mpenzi wake wa zamani (ex wake)....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania