Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Andy Cole awapa nafasi U-17 wa Tanzania

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Andy Cole amewaasa vijana walio chini ya miaka 17, kuongeza bidii ili kutimiza ndoto zao za kucheza kwenye timu kubwa duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AIRTEL YAMPOKEA ANDY COLE

Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United Andy Cole akiwa sehemu ya VIP kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jana usiku mara tu baada ya kuwasili kwa mwaaliko wa kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Bw. Jackson Mbando (kulia) akimkaribisha Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United Andy Cole (kushoto) mara tu baada ya kuwasili nchini kwa mwaaliko...

 

11 years ago

GPL

ANDY COLE NDANI YA COCO BEACH LEO

Muonekano wa jukwaa kwa ajili ya kuangalia mechi kati ya Manchester United na Aston Villa katika viwanja vya Coco Beach leo. Waliopo stejini ni washereheshaji Adamu John na Khamisi Saidi. Droo ya moja kwa moja (live) ya kuwatafuta na kuwatangaza washindi wa tiketi mbili za kwenda Old Trafford itachezwa leo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Andy Cole anatarajia kutua jijini Dar es Salaam kesho, imethibishwa.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE YOSEPHER AWAPA MBINU WANAWAKE WANAOTAKA KUWANIA NAFASI ZA UONGOZI UCHAGUZI MKUU

  Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini  Yosepher Komba  akizungumza na washiriki wa semina maalumu kwa wasichana mkoani Tanga  iliyoandaliwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali la Wanawake na Uongozi yenye makao makuu yake Jijini Dar es Saalam
 Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama hicho Yosepher Komba akiwa na...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: J-Cole amekuja kufanya nini Tanzania?

Rapper wa Marekani, J-Cole ameonekana kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro Jumatano hii. J-Cole akiwa KIA Haijulikani amekuja kufanya nini lakini huenda ikawa ni safari binafsi. Mtu mmoja aitwaye Keirocker amepost picha akiwa na rapper huyo kwenye Instagram na kuandika: Wow Just ran into the rapper J COLE at the Kilimanjaro Airport I […]

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yashika nafasi ya 100 Fifa

Wakati mkutano mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ukianza mjini Morogoro kesho, Tanzania imepanda kwenye ubora kulingana na viwango vipya vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

 

11 years ago

Mwananchi

Nafasi ya Tanzania imeonekana msiba wa Mandela

>Matukio mbalimbali yaliyotokea Jumapili kwenye mazishi ya Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yamenikumbusha yaliyotokea katika sherehe za miaka 50 tangu kuanzishwa OAU, sasa Umoja wa Afrika (AU).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani