MBUNGE YOSEPHER AWAPA MBINU WANAWAKE WANAOTAKA KUWANIA NAFASI ZA UONGOZI UCHAGUZI MKUU
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini Yosepher Komba akizungumza na washiriki wa semina maalumu kwa wasichana mkoani Tanga iliyoandaliwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali la Wanawake na Uongozi yenye makao makuu yake Jijini Dar es Saalam
Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama hicho Yosepher Komba akiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wanawake wahimizwa kuwania nafasi uchaguzi serikali za mitaa
WANAWAKE kote nchini wamehimizwa kuacha malumbano na kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JvwpcLFU-ro/VFeB5zFPfoI/AAAAAAAGvSo/qhpeg93nFa8/s72-c/22%2B(1).jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI KATIKA UCHAGUZI UJAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JvwpcLFU-ro/VFeB5zFPfoI/AAAAAAAGvSo/qhpeg93nFa8/s1600/22%2B(1).jpg)
Wanawake nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu ili waweze kuingia katika ngazi ya maamuzi.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanachama wa chama hicho wa wilaya ya Nachingwea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q3yrwKsL4ZI/XkvtKHxvXtI/AAAAAAALd8Y/E-18OpAUTvkp-eRz9yfPRPEKSMiJqr4lgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screen-Shot-2020-02-18-at-4.16.39-AM-660x400.png)
ZITTO ACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA UONGOZI ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-q3yrwKsL4ZI/XkvtKHxvXtI/AAAAAAALd8Y/E-18OpAUTvkp-eRz9yfPRPEKSMiJqr4lgCLcBGAsYHQ/s640/Screen-Shot-2020-02-18-at-4.16.39-AM-660x400.png)
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kuchukua fomu hiyo muda mfupi baada ya kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili ambapo katika shauri hilo la uchochezi...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Wanawake gombeeni nafasi za uongozi
10 years ago
Habarileo30 Jul
Samia afurahishwa wanawake kuwania uongozi
MGOMBEA Mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan ameelezea kufurahishwa na juhudi za wanawake Zanzibar kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika majimbo ya uchaguzi na kwamba wameonesha ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa.
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wanawake watakiwa kuwania uongozi majimboni
CHAMA cha Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) kimewakata wanawake wenzao kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali badala ya kusubiri nafasi za uteuzi. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Makamu Mwenyekiti wa chama...
10 years ago
MichuziWANAWAKE JITOKEZENI KUWANIA NAFASI YA URAS- TGNP
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI...