Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Andy Cole anatarajia kutua jijini Dar es Salaam kesho, imethibishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-5kYxjYHJACw/VY1UYBbm8zI/AAAAAAAACQs/S3uwAzomlvE/s72-c/Sergio_Ramos_2921569b.jpg)
MAAMUZI YA REAL MADRID KUHUSU SERGIO RAMOS KUTUA MANCHESTER UNITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kYxjYHJACw/VY1UYBbm8zI/AAAAAAAACQs/S3uwAzomlvE/s400/Sergio_Ramos_2921569b.jpg)
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in Africa and the whole world.Follow us on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf3kMokG3xAVruraTWG59wJLuBdA-Ms1BZX57*Z7vgm5Ba5BpFX55EZP0zEyuqQLT9wVKlkvufA0aIPVEAqTO1-Q/JuanMataChelsea.jpg?width=650)
JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?
Juan Mata anataraji kutua Manchester United akitokea klabu ya Chelsea ya jijini London kwa kitita cha pauni milioni 37 sawa na shilingi bilioni 99.3 za Kitanzania. Swali: Ataweza kuisadia timu hiyo yenye matokeo mabovu katika Ligi Kuu ya England na michuano mbalimbali inayoendelea ikiwa ni siku moja tu imeondolewa katika michuano ya Capital One Cup na Sunderland? INGIA HAPA KUTOA MAONI YAKO: JUAN… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQfMNnJeuYCaICQCfZoo876JK63*kUvCs7DYDhCRKdwF*s*pXVlJMXSHqgzaY5TD9Q016O8r9UuhzByLzS1tiVS/PIX1.jpg?width=650)
AIRTEL YAMPOKEA ANDY COLE
Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United Andy Cole akiwa sehemu ya VIP kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jana usiku mara tu baada ya kuwasili kwa mwaaliko wa kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Bw. Jackson Mbando (kulia) akimkaribisha Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United Andy Cole (kushoto) mara tu baada ya kuwasili nchini kwa mwaaliko...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Andy Cole awapa nafasi U-17 wa Tanzania
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Andy Cole amewaasa vijana walio chini ya miaka 17, kuongeza bidii ili kutimiza ndoto zao za kucheza kwenye timu kubwa duniani.
11 years ago
GPLANDY COLE NDANI YA COCO BEACH LEO
Muonekano wa jukwaa kwa ajili ya kuangalia mechi kati ya Manchester United na Aston Villa katika viwanja vya Coco Beach leo. Waliopo stejini ni washereheshaji Adamu John na Khamisi Saidi. Droo ya moja kwa moja (live) ya kuwatafuta na kuwatangaza washindi wa tiketi mbili za kwenda Old Trafford itachezwa leo.…
9 years ago
Habarileo11 Nov
Algeria kutua kesho Dar
WAKATI timu yaTaifa ya Algeria ikitarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho kwa mchezo dhidi ya Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo huku cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
11 years ago
GPLTambwe, Kaze kutua Dar kesho
Mshambuliaji wa kimataifa wa Simba, Gilbert Kaze ( katikati) na Amissi Tambwe (kulia). Na Lucy Mgina
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe na beki wa timu hiyo, Gilbert Kaze, wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam kesho Jumanne tayari kwa kuanza mazoezi na wenzao. Kocha wa Simba, Mcroatia, Zdravok Logarusic, aliwachimba mkwara kwa kudai atawakata mishahara nyota wote ambao walichelewa kujiunga na kikosi...
5 years ago
The Busby Babe09 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat Goal.comView Full coverage on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEwj6tuwTPXOCfQI6N7I9iFMK-YDs77eHtx7Ail0duS1lvaxaYfOIvUUA-rq7TInrfYz1B*ooCeva2TNxzEdwRcg/Mafikizolo720x478.jpg?width=650)
MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY
Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania