Algeria kutua kesho Dar
WAKATI timu yaTaifa ya Algeria ikitarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho kwa mchezo dhidi ya Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo huku cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTambwe, Kaze kutua Dar kesho
Mshambuliaji wa kimataifa wa Simba, Gilbert Kaze ( katikati) na Amissi Tambwe (kulia). Na Lucy Mgina
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe na beki wa timu hiyo, Gilbert Kaze, wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam kesho Jumanne tayari kwa kuanza mazoezi na wenzao. Kocha wa Simba, Mcroatia, Zdravok Logarusic, aliwachimba mkwara kwa kudai atawakata mishahara nyota wote ambao walichelewa kujiunga na kikosi...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Andy Cole anatarajia kutua jijini Dar es Salaam kesho, imethibishwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEwj6tuwTPXOCfQI6N7I9iFMK-YDs77eHtx7Ail0duS1lvaxaYfOIvUUA-rq7TInrfYz1B*ooCeva2TNxzEdwRcg/Mafikizolo720x478.jpg?width=650)
MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY
Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Papa kutua Kenya Kesho
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis amesema kwamba kesho akiwa Kenya atatoa ujumbe wa amani.
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Malawi kutua Mbeya kesho
MSAFARA wa watu 31 wakiwamo wachezaji 20 wa timu ya soka ya taifa ya Malawi ‘Flames’, unatarajia kuwasili jijini Mbeya kesho, tayari kwa pambano la kimataifa la kirafiki dhidi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jw6YH9axGC1hS0PYJsyxfJKftrDRKwe07vjqOtNUZBUAJNVOQ3a3FElO-x24VyrKPGGOCUqew-xHBG0dDiuah1D/YemiAlade2.jpg)
YEMI ALADE KUTUA NCHINI KESHO JUMATANO
MKALI wa ngoma ya Johnny, Yemi Alade, hataweza kutua Bongo leo kama ilivyotarajiwa na badala yake ataingia nchini kesho Jumatano, Agosti 6, 2014 saa tano usiku tayari kwa kukinukisha kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini ambalo limebakiza siku chache kabla ya kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Akiongea na mtandao huu, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto alisema Alade anatarajiwa kutua...
11 years ago
Michuzi26 Feb
SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA
![](https://4.bp.blogspot.com/-7C7KMJ0Z0NQ/Uw3LmApvesI/AAAAAAAA_b8/w2qqMD9LAr4/s1600/Shepolopolo.jpg)
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Timu ya Algeria kuwasili kesho
Msafara wa timu ya Taifa ya Algeria unatarajiwa kuwasili Tanzania kesho kwa ndege binafsi ya kukodi, ukiwa na jumla ya watu 65.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania