MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY
![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEwj6tuwTPXOCfQI6N7I9iFMK-YDs77eHtx7Ail0duS1lvaxaYfOIvUUA-rq7TInrfYz1B*ooCeva2TNxzEdwRcg/Mafikizolo720x478.jpg?width=650)
Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA S!TE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
Tayari maandalizi yote kuelekea ufunguzi wa onesho hilo yamekamilika na kwamba watanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuja kujionea vivutio adhimu wa taifa hili.
Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) pamoja na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA SITE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7tGobqDGUtA/VCqIQ1pRQjI/AAAAAAAGmsk/vrbUFzC18Is/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWRkoMq_0Go/VCqGoVynvPI/AAAAAAAGmsU/L62MPY15gto/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB),Devota Mdachi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu onyesho hilo la kimataifa la utalii ‘Swahili...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-z_QgRK2k27s/VmAbNSwwSeI/AAAAAAAIJ_Q/IKaPTVAhI50/s72-c/IMG_6332.jpg)
KUPIGA PICHA NA KOMBE LA BARCLAYS PREMIER LEAGUE KESHO LITAKUWA IPP MEDIA, MLIMANI CITY, MAZESE, BIAFRA NA VIWANJA VYA KARUME JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_QgRK2k27s/VmAbNSwwSeI/AAAAAAAIJ_Q/IKaPTVAhI50/s640/IMG_6332.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscaW3Ta-5zAMgDWR8OG6GPyR-u-IC4CHC94xzF09CXLFkxSw2OcR6taBxZ9MCoP9FNSMfh0ZWECEcw3l6ggZvCgY/T.I2.jpg?width=650)
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi03 May
George kavishe azungumzia maandalizi ya Kilimanjaro Tanzania music Awards (KTMA) 2014 yanayofanyika leo mlimani City jijini Dar es salaam
11 years ago
GPL03 May
GEORGE KAVISHE AZUNGUMZIA MAANDALIZI YA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS (KTMA) 2014 YANAYOFANYIKA LEO MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo23 Sep
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR NI SHIIIIIIIIIDA
![](http://api.ning.com/files/n6JmThHrscaW3Ta-5zAMgDWR8OG6GPyR-u-IC4CHC94xzF09CXLFkxSw2OcR6taBxZ9MCoP9FNSMfh0ZWECEcw3l6ggZvCgY/T.I2.jpg?width=650)
T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu.Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man: Heavy Is the Head ambapo nyingi kati yake zimefanya vizuri sana katika soko la muziki.
T.I ameshinda tuzo tatu za Grammy tangu aanze safari yake ya muziki.
Baadhi…
RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9E2Re91PkTsCJcXiFPUZG**XJU2*MOgGmfoE7YVCljoJhTTJWQTocfp-KF*Wbnql7TilTfIxZFa1d8O8V*JLIDn/MWANAMKE.jpg)
LEO NDIYO LEO TAMASHA LA WANAWAKE KUFANYIKA MLIMANI CITY, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s72-c/1.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI CHA AJABU KUTOKA MAREKANI ATUA NCHINI LEO, KUFANYA KONGAMANO LA WATOTO NA WAZAZI KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s640/1.jpg)
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kama ‘King Nahh’(Pichani), ametua jijini Dar es Salaam , leo.
King Nahh aliambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson ambapo wapo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Kesho mtoto huyo atafanya kongamano kubwa la watoto na wazazi katika Ukumbi wa Urafiki ambapo nia na madhumuni ni...