RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR

RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki watakaopiga shoo katika Usiku wa Fiesta 2014 ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam. T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu. Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man:...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo23 Sep
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR NI SHIIIIIIIIIDA

T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu.Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man: Heavy Is the Head ambapo nyingi kati yake zimefanya vizuri sana katika soko la muziki.
T.I ameshinda tuzo tatu za Grammy tangu aanze safari yake ya muziki.
Baadhi…
RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki...
11 years ago
Michuzi
MWANAMUZIKI RAPPA MAHIRI KUTOKA NCHINI MAREKANI T.I KUSAMBAZA UPENDO NDANI YA TAMASHA LA FIESTA OKTOBA 18,2014 JIJINI DAR

11 years ago
GPL
MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY
11 years ago
Michuzi
WAKAZI WA JIJI LA TANGA NA VITONGOJI VYAKE WAKUBALI MAKAMUZI YA TAMASHA LA FIESTA 2014.





10 years ago
GPLMWANAMUZIKI BILEKU, MASHUJAA BAND KUFANYA ONESHO LA PAMOJA DISEMBA 12-2014 UKUMBI WA ASCAPE 1 MIKOCHENI JIJINI DAR
11 years ago
GPL
MAKAMUZI YA SERENGETI FIESTA MJINI MOSHI
11 years ago
Michuzi03 Oct
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Shamrashamra za Serengeti Fiesta 2014 zapamba moto jijini Mwanza
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Young killer Msodoki, akiimba moja ya nyimbo zake katika onyesho la utambulisho wa wasanii watakaoshiriki katika maonyesho ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta yaliyoanza leo katika Uwanja wa CCM Kirumba. hafla ya utambulisho ilifanyika katika ukumbi wa klabu ya Jembe ni Jembe jijiini Mwanza jana usiku. Tamasha la fiesta linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kwa bia yake ya Serengeti Premium Lager.
Msanii wa muziki wa bongo flava, Chege Chigunda ‘mtoto...
11 years ago
Michuzi
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 LAZINDULIWA KWA KISHINDO JIJINI MWANZA.


.jpg)