MAKAMUZI YA SERENGETI FIESTA MJINI MOSHI
![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnVVjwOsd7JYJer6JCGPfiLsvdDEfW2cdTGJGQyfNxkPQHVCVYsiSx*K1ufdNRn-r3sNjZ5hoe1MC5nz9ExsCKQ/FIESTAMOSHI.jpg?width=650)
Burudani zikiwa zimepamba moto katika Tamasha la Serengeti Fiesta mjini Moshi usiku huu. Chegge (kulia) na Mhe. Temba wakilishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta Moshi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
10 years ago
Bongo528 Sep
Picha : Wasanii wa Serengeti Fiesta watinga Radio za Mbeya na kuhaidi makamuzi
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Mh. Temba kuipamba Serengeti Fiesta Moshi
WAPENZI na mashabiki wa muziki wa jiji la Moshi, mkoani Kilimnjaro, Jumamosi hii watapata burudani ya aina yake kupitia onyesho la nguvu maarufu kama Serengeti Fiesta katika Uwanja wa Majengo....
10 years ago
Bongo531 Aug
Picha: Serengeti Fiesta 2014 Moshi ilikuwa ni shida
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Tamasha la Serengeti Fiesta kuwasha moto Moshi leo
UHONDO wa burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mahiri waliopo katika msafara wa Serengeti Fiesta 2014, leo ni zamu ya wapenzi na mashabiki wa mji wa Moshi na vitongoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCLwLv0vjktk2DVXmOtMc1hrB-0Tfe2nupn4hP0Gw7m0a-d33Jb3yQfj4GiFVoYFDxwqBLkCa5TQEEMiEdIiX759/IMG_0036.jpg?width=650)
SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA BUKOBA
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscaW3Ta-5zAMgDWR8OG6GPyR-u-IC4CHC94xzF09CXLFkxSw2OcR6taBxZ9MCoP9FNSMfh0ZWECEcw3l6ggZvCgY/T.I2.jpg?width=650)
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo23 Sep
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR NI SHIIIIIIIIIDA
![](http://api.ning.com/files/n6JmThHrscaW3Ta-5zAMgDWR8OG6GPyR-u-IC4CHC94xzF09CXLFkxSw2OcR6taBxZ9MCoP9FNSMfh0ZWECEcw3l6ggZvCgY/T.I2.jpg?width=650)
T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu.Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man: Heavy Is the Head ambapo nyingi kati yake zimefanya vizuri sana katika soko la muziki.
T.I ameshinda tuzo tatu za Grammy tangu aanze safari yake ya muziki.
Baadhi…
RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki...