Picha : Wasanii wa Serengeti Fiesta watinga Radio za Mbeya na kuhaidi makamuzi
Wasanii wanaotarajiwa kufanya makamuzi usiku wa leo kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mapema leo walipata nafasi ya kutembelea radio za mkoa huo ambazo ni Mbeya Fm, Bomba Fm na Generation Fm. Nay wa mitego akiwa na Nay Lee wakiwa Generation Fm Nay wa Mitego na Mr Blue […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRNCNW75U-uErwwburShzNINKfIi0VMCy9Hcehl1McTcB7NGGzp1uGeTXZFBC0jRAsTscRaPnCpbRUNZpbTMpSM/IMG_8871.jpg?width=750)
WASANII WA SERENGETI FIESTA WATINGA NDANI YA GENERATION FM MBEYA
WASANIIÂ wanaotarajiwa kufanya makamuzi kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa leo ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, mapema leo walipata shavu la kufanyiwa mahojiano mafupi ndani ya Generation FM ya mjini hapo na kila mmoja akaweza kuweka wazi namna alivyojipanga kuwapagawisha wakazi wa Mbeya mara tu watakapoanza makamuzi yao usiku wa leo. Msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego akifanyiwa mahojiano mafupi ndani...
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
Wasanii wanaotarajia kupanda katika jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Jumamosi hii mjini Moshi wameahidi show ya nguvu. Wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro, Mh Temba na Nay wa Mitego nao wamewaomba wakazi wa mkoa wao huo kwenda kwa wingi kwenye show hiyo. “Unajua unapokuwa mwenyeji lazima uwape waliokuja kukusapoti burudani ambayo inastahili, kwahiyo hatutawaangusha ndugu zetu […]
11 years ago
Bongo508 Aug
Serengeti Fiesta 2014 Mwanza: Wasanii wazungumza na waandishi wa habari (Picha)
Baadhi ya wasanii waliowasili jijini Mwanza kwaajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 itakayofanyika Jumamosi (August 9) katika uwanja wa CCM Kirumba, Ijumaa hii wamekutana na kuzungumza na waandishi wa habari jijini humo. Nay wa Mitego Miongoni mwa wasinii waliowasili tayari ni pamoja na Nay wa Mitego, Chege,Makomando, Linah, Mr Blue, Nyandu Tozi, Young Killer […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnVVjwOsd7JYJer6JCGPfiLsvdDEfW2cdTGJGQyfNxkPQHVCVYsiSx*K1ufdNRn-r3sNjZ5hoe1MC5nz9ExsCKQ/FIESTAMOSHI.jpg?width=650)
MAKAMUZI YA SERENGETI FIESTA MJINI MOSHI
Burudani zikiwa zimepamba moto katika Tamasha la Serengeti Fiesta mjini Moshi usiku huu. Chegge (kulia) na Mhe. Temba wakilishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta Moshi.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*ynSUOdAbV35u9nxQZ8nAYBUBwoTITM0p-9KiySqP3p3XeyqsBXu88dGmlUwPItVlv*r7xEtVImQ1PBXW2wWFV/IMG20140926WA0000.jpg)
WASANII WA FIESTA WATINGA KATIKA OFISI ZA MKUU WA MKOA WA SONGEA
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Saidi Mwambungu (katikati) akiongea na wasanii wa Fiesta (hawapo pichani) asubuhi ya leo muda mfupi baada ya kuwaomba kunywa nao chai Ikulu ndogo Songea.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZ8FO2EAPes6RlO6jZ5QAcodP0-LY-imfksGu-YasD6E3wM4a9fIow0cWbJAE6E7E4Qtgj3Jtp3XlBJMgdlNxM/1.jpg?width=650)
WASANII SERENGETI FIESTA 2014 NDANI YA BREEZE FM
Wasanii wanaotarajiwa kufanya shoo kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 leo wakisubiria kufanyiwa mahojiano ndani ya kituo cha Redio cha Breeze FM cha mjini Tanga mapema hii. Msanii kutoka Kundi la Yamoto Band, Dogo Aslay akizungumzia namna watakavyotoa burudani kwa mara ya kwanza mjini Tanga katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Mkwakwani.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDISbFJ8mjXaZvVVZZQHEXp9BGxSaEuGHKO0gWiYlC8BdR*gQxQWFxW5xuOIauuKuvsDUl-7B2THPAePLrrxbA0m/8.jpg?width=750)
SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI MBEYA
Msanii wa Bongo Fleva, Linex akitoa burudani usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Umati wa mashabiki katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.…
10 years ago
Bongo527 Sep
Picha: Serengeti Fiesta Songea, Ruvuma ni shidaa!
Wakazi wa Songea mjini mkoani Ruvuma usiku wa kuamkia leo waliongezeka kwenye orodha ya mikoa iliyopata shangwe za Serengeti Fiesta 2014 hadi sasa. Jionee picha za show hiyo. Linah akiwa na shabiki ambaye uzalendo nae ulimshinda Linex aliwaimbisha wakazi wa Songea vya kutosha Mkuu wa wilaya ya Songea alikimtangaza mshindi wa Super nyota Diva Mkuu […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3u3td4YI5Ig-zucN5LYioOaOZRChI7vM*-mabJcsQU1nY3wmgsTLIFUccC*3SGsVXigLtGV-Ummnb5rhJON45kQEFp7x2a*T/MGANGAMKUUAKIPOKEAMSAADAWAWASANIIMUDAMFUPIBAADAYAKWENDAKUWAONAMAJERUHINAWATUWALIOPOTEZAMAISHANDANIYAHOSPITALIYAMUSOMA.jpg?width=6)
WASANII WA SERENGETI FIESTA WATOA MSAADA KWA MAJERUHI WA AJALI MUSOMA
Msanii Shiole na mtangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu wakikabidhi misaada katika Hospitali ya Mkoa wa Mara kwa ajili ya majeruhi wa ajali iliyotokea mjini Musoma leo. Nay wa Mitego akikabidhi moja…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania