Serengeti Fiesta 2014 Mwanza: Wasanii wazungumza na waandishi wa habari (Picha)
Baadhi ya wasanii waliowasili jijini Mwanza kwaajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 itakayofanyika Jumamosi (August 9) katika uwanja wa CCM Kirumba, Ijumaa hii wamekutana na kuzungumza na waandishi wa habari jijini humo. Nay wa Mitego Miongoni mwa wasinii waliowasili tayari ni pamoja na Nay wa Mitego, Chege,Makomando, Linah, Mr Blue, Nyandu Tozi, Young Killer […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Aug
Picha: Serengeti Fiesta 2014 Mwanza yafana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza
Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZ8FO2EAPes6RlO6jZ5QAcodP0-LY-imfksGu-YasD6E3wM4a9fIow0cWbJAE6E7E4Qtgj3Jtp3XlBJMgdlNxM/1.jpg?width=650)
WASANII SERENGETI FIESTA 2014 NDANI YA BREEZE FM
10 years ago
Bongo528 Sep
Picha : Wasanii wa Serengeti Fiesta watinga Radio za Mbeya na kuhaidi makamuzi
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXXLMcOg2pYftc3QTF2xpJu-FC5yZAuc9V2B9B23v8G-w0892Fbc-SN*YVaVEkv4m3o6yNBxopHBIqw2urlMjUC/photo2.jpg?width=650)
SERENGETI FIESTA 2014 YAANZA MWANZA KWA KISHINDO
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Shamrashamra za Serengeti Fiesta 2014 zapamba moto jijini Mwanza
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Young killer Msodoki, akiimba moja ya nyimbo zake katika onyesho la utambulisho wa wasanii watakaoshiriki katika maonyesho ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta yaliyoanza leo katika Uwanja wa CCM Kirumba. hafla ya utambulisho ilifanyika katika ukumbi wa klabu ya Jembe ni Jembe jijiini Mwanza jana usiku. Tamasha la fiesta linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kwa bia yake ya Serengeti Premium Lager.
Msanii wa muziki wa bongo flava, Chege Chigunda ‘mtoto...
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Musoma
10 years ago
Bongo506 Oct
Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Dodoma