Mh. Temba kuipamba Serengeti Fiesta Moshi
WAPENZI na mashabiki wa muziki wa jiji la Moshi, mkoani Kilimnjaro, Jumamosi hii watapata burudani ya aina yake kupitia onyesho la nguvu maarufu kama Serengeti Fiesta katika Uwanja wa Majengo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnVVjwOsd7JYJer6JCGPfiLsvdDEfW2cdTGJGQyfNxkPQHVCVYsiSx*K1ufdNRn-r3sNjZ5hoe1MC5nz9ExsCKQ/FIESTAMOSHI.jpg?width=650)
MAKAMUZI YA SERENGETI FIESTA MJINI MOSHI
Burudani zikiwa zimepamba moto katika Tamasha la Serengeti Fiesta mjini Moshi usiku huu. Chegge (kulia) na Mhe. Temba wakilishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta Moshi.…
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Tamasha la Serengeti Fiesta kuwasha moto Moshi leo
UHONDO wa burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mahiri waliopo katika msafara wa Serengeti Fiesta 2014, leo ni zamu ya wapenzi na mashabiki wa mji wa Moshi na vitongoni...
10 years ago
Bongo531 Aug
Picha: Serengeti Fiesta 2014 Moshi ilikuwa ni shida
Wakazi wa Moshi usiku wa August 30 walipata burudani za shangwe ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika katika viwanja vya Majengo kutoka kwa wasanii mbalimbali. Tazama picha za show hiyo. Mamong’oo ndio walifunga show Mapacha Maua Sama Nay wa Mitego na Stamina Nickson George wa Clouds TV Producer Lamar akiwarusha mashabiki wa Moshi kwa ngoma za […]
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
Wasanii wanaotarajia kupanda katika jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Jumamosi hii mjini Moshi wameahidi show ya nguvu. Wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro, Mh Temba na Nay wa Mitego nao wamewaomba wakazi wa mkoa wao huo kwenda kwa wingi kwenye show hiyo. “Unajua unapokuwa mwenyeji lazima uwape waliokuja kukusapoti burudani ambayo inastahili, kwahiyo hatutawaangusha ndugu zetu […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbU9euw*eWS3x23gd40ViLJxB8gYzzXZl29O3HfQTNwiF5o4V8WUEGR7GYlOjG7Dm8Z*zDBSKwrwTj1vcwtI7T6j/TMKWANAUMEFAMILY5.jpg?width=650)
TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO
Amani Temba 'Mhe. Temba'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la TMK Wanaume Family, Amani Temba 'Mhe. Temba' leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Yamoto Band. Sherehe hiyo itafanyika leo saa 3 usiku katika Ukumbi wa Equator Grill ulioko Mtoni jijini Dar ambapo burudani zitashushwa kutoka kwa Tmk Wanaume Family, Tip Top Connection, Mashauzi Classic na Yamoto Band. … ...
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
11 years ago
TheCitizen08 Aug
Serengeti Fiesta launches new season
The Serengeti Fiesta is back, the 13th season of a party trail that draws the attention of the youth kicks off tomorrow with the first gig of the season in Mwanza.
10 years ago
TheCitizen17 Oct
Serengeti Fiesta going for grand finale
>The Serengeti Fiesta is a party trail that has become one of the hottest items on the entertainment calendar in the country.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
SERENGETI FIESTA YAHARISHWA MUSOMA
Tamasha la Fiesta lililokuwa lifanyike leo Musoma limeahirishwa kutokana na ajali iliyotokea mkoani humo leo na kuua watu zaidi ya 20.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania