Timu ya Algeria kuwasili kesho
Msafara wa timu ya Taifa ya Algeria unatarajiwa kuwasili Tanzania kesho kwa ndege binafsi ya kukodi, ukiwa na jumla ya watu 65.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Timu kuanza kuwasili leo
TIMU zinazoshiriki michuano ya Kagame zinatarajia kuanza kuwasili nchini leo na kesho kwa ajili ya michuano hiyo inayotarajia kutimua vumbi keshokutwa katika viwanja vya Taifa na Karume jijini Dar es Salaam.
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa timu zinazowasili leo ni Al Shandy (Sudan), Al Malakia (Sudan Kusini) na KMKM kutoka Zanzibar.
Alisema Al Shandy wanatarajiwa kuwasili leo saa 3 asubuhi na ndege ya (KQ), KMKM wakitarajiwa...
11 years ago
Michuzi09 Aug
Maofisa wa kuwasili nchini kesho
Ujumbe huo wa FIFA utakaokuwa na maofisa sita, baada ya ziara yake utashauri jinsi ya kuboresha uendeshaji huo katika kikao cha pamoja kati yake na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kitakachofanyika mwishoni mwa wiki ijayo.
BONIFACE WAMBURAOFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mwili wa Dk Kigoda kuwasili kesho
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Kombe la Kagame timu zote kuwasili leo
11 years ago
Habarileo03 Jan
Mwili wa Dk Mgimwa kuwasili kesho mchana
MWILI wa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa unatarajiwa kuwasili nchini kesho mchana kwa ndege ya Afrika Kusini.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FBSE_I_ls3E/VM4VhP0EA7I/AAAAAAAHApk/-TVwqfoT67o/s72-c/Official-portrait-Federal-President-Gauck.jpg)
Rais wa Ujerumani, Mhe. Joachim Gauck kuwasili nchini kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-FBSE_I_ls3E/VM4VhP0EA7I/AAAAAAAHApk/-TVwqfoT67o/s1600/Official-portrait-Federal-President-Gauck.jpg)
Mhe. Rais Gauck atapokelewa rasmi na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Februari, 2015 na atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21. Wananchi wanaombwa kuwa watulivu wakati mizinga hii ikipigwa kwani ni salama.
Baada ya mapokezi hayo,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s72-c/New%2BPicture.bmp)
WAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUWASILI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s1600/New%2BPicture.bmp)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKUNDI la waangalizi wa uchaguzi Mkuu nchini Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, wanatarajia kuwasili Dar es Salaam Jumapili, tarehe 18 October 2015 tayari kwa uangalizi wa uchaguzi kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Kuwasili kwa kundi la Jumuiya ya Afrika Mashariki lenye takribani watu hamsini na tano, ni kuitikia mwaliko kutoka kwa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
FIFA:Algeria ni timu bora Afrika