Kombe la Kagame timu zote kuwasili leo
Timu zote zinazoshiriki michuano ya Kombe la Kagame zinatakiwa kufika mjini Dar es Salaam leo, na si zaidi ya hapo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Kombe la Kagame darasa tosha kwa timu zetu
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Timu kuanza kuwasili leo
TIMU zinazoshiriki michuano ya Kagame zinatarajia kuanza kuwasili nchini leo na kesho kwa ajili ya michuano hiyo inayotarajia kutimua vumbi keshokutwa katika viwanja vya Taifa na Karume jijini Dar es Salaam.
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa timu zinazowasili leo ni Al Shandy (Sudan), Al Malakia (Sudan Kusini) na KMKM kutoka Zanzibar.
Alisema Al Shandy wanatarajiwa kuwasili leo saa 3 asubuhi na ndege ya (KQ), KMKM wakitarajiwa...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Kila la heri Azam FC Kombe la Kagame leo
10 years ago
MichuziJK APOKEA KOMBE LA KAGAME TOKA KWA AZAM FC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE APOKEA KOMBE LA KAGAME TOKA KWA AZAM FC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Rais Jakaya Mrisho kikwete pozi na mabingwa Kombe la Kagame na mabingwa wa Tanzania Azam FC walipofika Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015. Azam ambao pia ni mabingwa wa soka wa Tanzania Bara walishinda kombe hilo katika michuano ya Shirikisho la soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati yaani CECAFA hivi karibuni
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Timu ya Algeria kuwasili kesho
10 years ago
GPLYANGA YAJIWINDA NA KOMBE LA KAGAME
10 years ago
Mwananchi29 Jul
KOMBE LA KAGAME: Lazima tuwanyooshe
9 years ago
Habarileo29 Nov
Kombe la Kagame kufanyika Z’bar
CHAMA cha soka Zanzibar (ZFA ) kimethibitisha kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ‘Kombe la Kagame’ Julai mwakani.