Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu kuanza kuwasili leo

TIMU zinazoshiriki michuano ya Kagame zinatarajia kuanza kuwasili nchini leo na kesho kwa ajili ya michuano hiyo inayotarajia kutimua vumbi keshokutwa katika viwanja vya Taifa na Karume jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa timu zinazowasili leo ni Al Shandy (Sudan), Al Malakia (Sudan Kusini) na KMKM kutoka Zanzibar.

Alisema Al Shandy wanatarajiwa kuwasili leo saa 3 asubuhi na ndege ya (KQ), KMKM wakitarajiwa...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Kagame timu zote kuwasili leo

Timu zote zinazoshiriki michuano ya Kombe la Kagame zinatakiwa kufika mjini Dar es Salaam leo, na si zaidi ya hapo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Timu ya Algeria kuwasili kesho

Msafara wa timu ya Taifa ya Algeria unatarajiwa kuwasili Tanzania kesho kwa ndege binafsi ya kukodi, ukiwa na jumla ya watu 65.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Mgimwa kuwasili leo

MWILI wa Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa (63), aliyefariki juzi nchini Afrika Kusini baada ya kuugua kwa muda mrefu, unatarajiwa kuwasili nchini leo. Akitangaza ratiba ya kuwasili kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Waangalizi wa EU kuwasili nchini leo

WAANGALIZI wa muda mfupi 60 kutoka Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU-EOM) watawasili Dar es Salaam leo ili kuangalia uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Kiongozi wa Wasabato duniani kuwasili leo

KIONGOZI wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson (pichani) anatarajiwa kuwasili nchini leo kwa ziara ya kikanisa ya siku nne.

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI

MAREHEMU Dk Abdalala Kigoda enzi za uhai wake(Pichani) 
 Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki  nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.
Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.
Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili...

 

9 years ago

Habarileo

Mwili wa Kombani kuwasili Dar leo

MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo saa 9 alasiri kutoka nchini India, alikofariki wakati akipatiwa matibabu ya saratani.

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC

Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza  wiki ijayo.  Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani