Waangalizi wa EU kuwasili nchini leo
WAANGALIZI wa muda mfupi 60 kutoka Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU-EOM) watawasili Dar es Salaam leo ili kuangalia uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s72-c/New%2BPicture.bmp)
WAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUWASILI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s1600/New%2BPicture.bmp)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKUNDI la waangalizi wa uchaguzi Mkuu nchini Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, wanatarajia kuwasili Dar es Salaam Jumapili, tarehe 18 October 2015 tayari kwa uangalizi wa uchaguzi kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Kuwasili kwa kundi la Jumuiya ya Afrika Mashariki lenye takribani watu hamsini na tano, ni kuitikia mwaliko kutoka kwa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
9 years ago
Michuzi14 Oct
MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aYXCtMiM1SrR4T-dKZInezrtNLUhQOv67Vj0gf9ayhrpBoaJ7l3YZIXzqp2G7TNKuuFV7nkK_aMgBQ2HqkudW9Mj1hHz07gXIqrmb4aTZEXzE4Gn38gHx-wlYvT89ju55rip96p7isqjFrFQiraMosGeyLbdR-0MarFXB-MER-F5xLjF6saM=s0-d-e1-ft#http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2911698/highRes/1146707/-/maxw/600/-/114434kz/-/Abdallah+Kigoda+Photo.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.
Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.
Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mwili wa Balozi Kazaura kuwasili nchini leo
10 years ago
Mwananchi12 May
Mwili wa mtoto Imran kuwasili nchini leo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU e.V) kuwasili nchini leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Akiwa nchini atafanya mazungumzo na uongozi wa taasisi mbali mbali zikiwepo TIC, Basata, Wizara ya Ardhi,Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo pamoja na mashirika ya NSSF, NHC, Tanzania Diaspora Initiative.
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s72-c/20150503073519.jpg)
NEWS ALERT: Waomba hifadhi kutoka nchini Burundi wazidi kuwasili nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s1600/20150503073519.jpg)
9 years ago
Habarileo29 Aug
EU kutuma waangalizi wa uchaguzi 128 nchini
UMOJA wa Ulaya (EU) utatuma timu ya waangalizi yenye wajumbe 128 nchi nzima kwa ajili ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015.
11 years ago
Michuzi09 Aug
Maofisa wa kuwasili nchini kesho
Ujumbe huo wa FIFA utakaokuwa na maofisa sita, baada ya ziara yake utashauri jinsi ya kuboresha uendeshaji huo katika kikao cha pamoja kati yake na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kitakachofanyika mwishoni mwa wiki ijayo.
BONIFACE WAMBURAOFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)