EU kutuma waangalizi wa uchaguzi 128 nchini
UMOJA wa Ulaya (EU) utatuma timu ya waangalizi yenye wajumbe 128 nchi nzima kwa ajili ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziEU KUTUMA WAANGALIZI 128 KWAAJILI YA UICHAGUZI MKUU
9 years ago
VijimamboUMOJA WA ULAYA KUTUMA WAANGALIZI WA UCHAGUZI
Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo.
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI
9 years ago
MichuziWAANGALIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI WAENDELEA KUPATA UFAFANUZI JUU YA MASUALA YANAYOHUSIANA NA VYAMA VYA SIASA NA UCHAGUZI.
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
9 years ago
Habarileo30 Oct
Waangalizi wasifia uchaguzi
UMOJA wa Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Tanzania (CEMOT), umepongeza mchakato wa uchaguzi wakisema sheria na kanuni vimezingatiwa na kuheshimiwa.
9 years ago
Habarileo25 Oct
Waangalizi uchaguzi waridhika
WAANGALIZI wa Uchaguzi Mkuu kutoka nchi za Maziwa Makuu, wameridhishwa na kutosheka na hali ya utulivu na kukomaa kwa demokrasia nchini, wakati wote wa kampeni licha ya kuwepo na tofauti za kisera.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RJ0Grr-rL7s/Vmb1OaTl-LI/AAAAAAAILCg/amGtPDEzPwI/s72-c/EU_flag1-436x347.jpg)
Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa EU watoa wito kwa ukamilishwaji haraka wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar kulingana na kanuni za chaguzi shirikishi, za uwazi, zinazotekelezwa kwa wakati na za kuaminika
![](http://3.bp.blogspot.com/-RJ0Grr-rL7s/Vmb1OaTl-LI/AAAAAAAILCg/amGtPDEzPwI/s400/EU_flag1-436x347.jpg)
Kufuatia Siku ya Uchaguzi tarehe 25 Oktoba, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya umebaki nchini kufuatilia chaguzi zilizoahirishwa Tanzania Bara na mchakato uliyositishwa Visiwani Zanzibar, baada ya tamko la Mwenyekiti wa Tume ya...