Waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakibadilishana Hati ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo.
Balozi wa Umoja wa Ulaya Mhe. Filiberto Sebregondi, akisaini Hati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Sep
Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua.
Bibi Judith Sargentini Mbunge wa Bunge la ummoja wa Ulaya Friday, September 25, 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Kazi ya waangalizi wa muda mrefu itairuhusu EU EOM kufanya tathmini ya kina ya mchakato wa […]
The post Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhSEmsa*FW-ivQ7x9rfCInFr65BmWLUIyRlEZF1hqsuf8B*y2juv*yDEoQZ5UDMc0rHA*-cCQDeP8ZXhfr6Cv-em/sergentini.jpg?width=650)
9 years ago
VijimamboUMOJA WA ULAYA KUTUMA WAANGALIZI WA UCHAGUZI
Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo.
9 years ago
Michuzi27 Oct
9 years ago
MichuziMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, UMOJA NA HAKI KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
GPLMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, UMOJA NA HAKI KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XwUXT3bxX44/Vgvudi8Gz7I/AAAAAAAH788/8QAb0IL1Gxw/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR, AAGANA NA BALOZI WA MALAWI TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwUXT3bxX44/Vgvudi8Gz7I/AAAAAAAH788/8QAb0IL1Gxw/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-00SjgGxu4Fw/Vgvugo1VA_I/AAAAAAAH79Q/thy-npQoPTQ/s640/1B.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Sh700 bil kutumika kufuatilia Uchaguzi Mkuu