Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua.
Bibi Judith Sargentini Mbunge wa Bunge la ummoja wa Ulaya Friday, September 25, 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Kazi ya waangalizi wa muda mrefu itairuhusu EU EOM kufanya tathmini ya kina ya mchakato wa […]
The post Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua. appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhSEmsa*FW-ivQ7x9rfCInFr65BmWLUIyRlEZF1hqsuf8B*y2juv*yDEoQZ5UDMc0rHA*-cCQDeP8ZXhfr6Cv-em/sergentini.jpg?width=650)
9 years ago
VijimamboUMOJA WA ULAYA KUTUMA WAANGALIZI WA UCHAGUZI
Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo.
9 years ago
Michuzi27 Oct
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Waangalizi Umoja wa Ulaya wawasili
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UJUMBE wa waangalizi 34 wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU), wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa uchaguzi mkuu.
Waangalizi hao wanaungana na kundi kuu la EU EOM la watathmini wa uchaguzi ambao waliwasili Septemba 11, mwaka huu.
Msafara wa EU EOM nchini Tanzania, utaongozwa na Mbunge wa Bunge la Ulaya kutoka nchini Uholanzi, Judith Sargentini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na Ofisa Habari wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XwUXT3bxX44/Vgvudi8Gz7I/AAAAAAAH788/8QAb0IL1Gxw/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR, AAGANA NA BALOZI WA MALAWI TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwUXT3bxX44/Vgvudi8Gz7I/AAAAAAAH788/8QAb0IL1Gxw/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-00SjgGxu4Fw/Vgvugo1VA_I/AAAAAAAH79Q/thy-npQoPTQ/s640/1B.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s72-c/New%2BPicture.bmp)
WAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUWASILI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s1600/New%2BPicture.bmp)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKUNDI la waangalizi wa uchaguzi Mkuu nchini Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, wanatarajia kuwasili Dar es Salaam Jumapili, tarehe 18 October 2015 tayari kwa uangalizi wa uchaguzi kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Kuwasili kwa kundi la Jumuiya ya Afrika Mashariki lenye takribani watu hamsini na tano, ni kuitikia mwaliko kutoka kwa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Maombi yote waangalizi uchaguzi mkuu yakubaliwa
WIKI mbili kabla ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani nchini, waangalizi kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Umoja wa Nchi za Ulaya (EU), wametuma maombi ya kushiriki katika uchaguzi huo na kukubaliwa.