UMOJA WA ULAYA KUTUMA WAANGALIZI WA UCHAGUZI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakibadilishana Hati ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.
Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo.Balozi wa Umoja wa Ulaya Mhe. Filiberto Sebregondi, akisaini Hati ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhSEmsa*FW-ivQ7x9rfCInFr65BmWLUIyRlEZF1hqsuf8B*y2juv*yDEoQZ5UDMc0rHA*-cCQDeP8ZXhfr6Cv-em/sergentini.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi27 Oct
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Sep
Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua.
Bibi Judith Sargentini Mbunge wa Bunge la ummoja wa Ulaya Friday, September 25, 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Kazi ya waangalizi wa muda mrefu itairuhusu EU EOM kufanya tathmini ya kina ya mchakato wa […]
The post Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo29 Aug
EU kutuma waangalizi wa uchaguzi 128 nchini
UMOJA wa Ulaya (EU) utatuma timu ya waangalizi yenye wajumbe 128 nchi nzima kwa ajili ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015.
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Waangalizi Umoja wa Ulaya wawasili
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UJUMBE wa waangalizi 34 wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU), wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa uchaguzi mkuu.
Waangalizi hao wanaungana na kundi kuu la EU EOM la watathmini wa uchaguzi ambao waliwasili Septemba 11, mwaka huu.
Msafara wa EU EOM nchini Tanzania, utaongozwa na Mbunge wa Bunge la Ulaya kutoka nchini Uholanzi, Judith Sargentini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na Ofisa Habari wa...
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
9 years ago
MichuziEU KUTUMA WAANGALIZI 128 KWAAJILI YA UICHAGUZI MKUU
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Umoja wa Ulaya wasikitishwa uchaguzi kufutwa Zanzibar