Umoja wa Ulaya wasikitishwa uchaguzi kufutwa Zanzibar
Ujumbe wa Umoja wa Ulaya wasikitishwa kwa kitendo cha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta uchaguzi na matokeo licha ya maoni chanya ya mwenendo wa uchaguzi huo yaliyotolewa na waangalizi wa kimataifa. Umoja huo wa Ulaya wametoa wito kwa ZEC kupitia taarifa yao waliyoituma leo kwa vyombo vya habari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Sababu 8 za kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
StarTV24 Nov
Kufutwa Uchaguzi Zanzibar Waliohusika watakiwa kuchukuliwa hatua
Shirikisho la vyuo vikuu Zanzibar limeomba kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya mtu yeyote aliyehusika na kusababisha kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar bila kujali cheo ama wadhifa wake.
Akisoma taarifa ya wasomi hao wanaounga mkono ccm mbele ya wanahabari visiwani Zanzibar Makamu mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vya elimu ya juu wanaunga mkono CCM Zanzibar Hamid Saleh Muhina anasema maeneo mengi ya hujuma katika uchaguzi huo yamebainika ila tuma na baadhi ya makamishna kukaa kimya...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Taarifa ya ZADIA kuhusu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s72-c/zadia.png)
ZADIA YAZUNGUMZIA HALI YA KUFUTWA KWA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
Ama kwa hakika kitendo hicho hakikuwa cha busara na...
9 years ago
StarTV30 Oct
Kufutwa matokeo ya uchaguzi zanzibar  Vyama vya siasa vyapinga
Baadhi ya vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi mkuu wa Zanzibar vimeeleza kutokubaliana na kauli ya mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ZEC Jecha Salim Jecha ya kufuta uchaguzi mkuu ulioelezwa kujaa mizengwe na kukiuka taratibu.
Wanadai kuwa tangazo hilo linawatia mashaka wakimtaka mwenyekiti wa Tume achambue vipengele vitakavyothibitisha kasoro zilizosababisha kufutwa kwa sheria hiyo.
Akizungumza wakati wa mkutano na wanahabari malindi visiwani Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Ulaya wasikitishwa mchakato Katiba
UMOJA wa Ulaya (EU), umesikitishwa na Tanzania kutoitumia fursa ya uundwaji wa Katiba mpya kuiondoa adhabu ya kifo. EU, imeeleza hayo jana katika taarifa yake kwa waandishi wa habari jijini...